johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,744
- 141,608
Wakati huu ambapo CCM inazaliwa upya, ni wazi kabisa kwamba mafisadi na wale wote wenye tuhuma za kifisadi watakikimbia au kukihama chama. Sehemu pekee inayowahakikishia usalama wao ni Chadema na hii inatokana na ukweli kwamba chama hicho kimesheheni wanasheria wabobezi ambao wakiamua kukusafisha lazima usafishike. Hata hii misukosuko inayomkuta Zitto mwisho wa siku utasikia ameimarisha mahusiano yake na chadema. Itoshe tu kusema si wote waendao Ufipa wanafuata itikadi la hasha, wengine wanatafuta chimbo la kisheria wakiamini ukijichimbia mle chamani basi wewe uko salama " kiutetezi"..... Nawasilisha!!