hivi inawezekana ikawa kweli eh?
<br />Eeeeeeee! kweli eti, mambo magumu kule.kila siku nasema jamvi litakuwa chungu hili.
Hapo kulipopigiwa mstari... ulibadilisha jina ili iweje? Unafii tuMmmh,kabla sijabadilisha jina hapa nilitoa utabiri wangu juu ya matokeo ya chadema igunga,...
nilitukanwa sana,sasa nasubiri yatimie ndipo niwape quote ya nilicho kisema wakati ule
Hapo kulipopigiwa mstari... ulibadilisha jina ili iweje? Unafii tu
Mkuu, Igunga ngumu kwa CDM hamna kitu watapost nini Magwanda kama migambo wa City wapo Igunga wanang'aa sharubu tuKwa wanaojua moto wa chadema hapa jf,nashangaa uhaba wa post za matukio ya igunga.hata cuf wako mbele.mmejisahau,au kuna hujuma?
Tumewatanguliza CUF kwa picha za kuchakachua za pemba karibu chenga zinawaishia,Kwa wanaojua moto wa chadema hapa jf,nashangaa uhaba wa post za matukio ya igunga.hata cuf wako mbele.mmejisahau,au kuna hujuma?