YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,911
- 51,889
CHADEMA sasa hivi kumekosa nidhamu.Kila mtu anakuwa msemaji wa chama kwenye mitandao na vyombo vya habari.Mimi kama mlipa kodi ambaye pesa yangu hutumika kama ruzuku kwa ajili ya CHADEMA naomba kalisheni wanachama wenu wawe CHASO,BAVICHA,BAWACHA na CHADEMA yenyewe na wajumbe wenu wa kamati kuu na viongozi wenu mpeane semina elekezi nani anatakiwa kuwa msemaji.Sasa hivi CHADEMA kimekuwa kama chama kilichoko mnadani ambako dalali akionyesha bidhaa kila mtu anaropoka bei yake.
Waandishi pia wa vyombo vya habari ni vizuri wakaelewa wakitaka habari za uhakika kabla ya kuzichapisha au kutangaza wazipate kwa nani hasa.CHADEMA kwa sasa kuna tatizo hasa la utoaji habari.
Waandishi pia wa vyombo vya habari ni vizuri wakaelewa wakitaka habari za uhakika kabla ya kuzichapisha au kutangaza wazipate kwa nani hasa.CHADEMA kwa sasa kuna tatizo hasa la utoaji habari.