Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyoeleza nafikiri kuna hàja ya uongozi Wa juu Wa CHADEMA kufafanua juu ya Sera ya utawala Wa majimbo.
Kila Mara viongozi Wa CCM wanapohutubia wanapotosha Sera ya majimbo, wanadai kuwa Ni ya kuwagawa watanzania. Kadiri ninavyokumbuka Sera ya majimbo ililetwa kwa Mara ya kwanza Na katiba pendekezwa ya jaji Jarioba. Lakini pia muundo huo wa uongozi upo pia Kenya.
Mimi nafikiri kuondoa upotoshaji huo, viongozi Wa CHADEMA wenye platform ya kuhutubia umma bora mfanye hivyo.
Kila Mara viongozi Wa CCM wanapohutubia wanapotosha Sera ya majimbo, wanadai kuwa Ni ya kuwagawa watanzania. Kadiri ninavyokumbuka Sera ya majimbo ililetwa kwa Mara ya kwanza Na katiba pendekezwa ya jaji Jarioba. Lakini pia muundo huo wa uongozi upo pia Kenya.
Mimi nafikiri kuondoa upotoshaji huo, viongozi Wa CHADEMA wenye platform ya kuhutubia umma bora mfanye hivyo.