mzee wa mawe
Senior Member
- Aug 2, 2011
- 151
- 15
Akiongea DC wa igunga Fatuma kimario akiongea na waandishi wa habari mjini igunga amesema kuwa yeye ni desturi yake anapovaa nguo yoyote ni lazima avae Hijabu kwa hiyo kitendo cha kumvua hijabu ni sawa na kumuacha uchi, na kwa mujibu wa dini kiislamu ni udhalilishaji na kejeli kwa dini hiyo, tusubiri tamko la Masheikh.