Chadema kumvua Hijabu DC ni chuki dhidi ya Uislamu.

Status
Not open for further replies.

mzee wa mawe

Senior Member
Aug 2, 2011
151
15
Akiongea DC wa igunga Fatuma kimario akiongea na waandishi wa habari mjini igunga amesema kuwa yeye ni desturi yake anapovaa nguo yoyote ni lazima avae Hijabu kwa hiyo kitendo cha kumvua hijabu ni sawa na kumuacha uchi, na kwa mujibu wa dini kiislamu ni udhalilishaji na kejeli kwa dini hiyo, tusubiri tamko la Masheikh.
 
Mimi ni muislam,na naelewa umuhim na thaman ya HIJABU KWA MWANAMKE WA KIISLAM.,YULE MAMA NIMEMUONA KWENYE T.V LEO,HIJABU HAIVALIWI VILE,YULE AMEVAA KITAMBAAA TU,,,,,,,NA KUHUSU CHADEMA NI KWELI HAWAKUMTENDEA HAKI,KUMPA KASHKASH AS WOMAN,ANGEKUWA MWANAUME KAMA TAMBWE AU NAPE AU KADA YEYOTE INGEKUWA SAWA,SI KWA MWANAMKE,KUTOKANA NA MAUMBILE YAKE,JE ANGEDONDOSHA SHANGA??????
 
Mmeanza uchonganishi,unasubiri nini kutoka kwa mashekh mbona usihoji wala usisubiri tamko kwa kitendo cha kampeni meneja kuchukua kiburudishao cha ustaadh hapa igunga?
Mawazo mgando hukimbilia uchonganishi
 
Ndo nilivoielewa hiii sridi
Mmeanza uchonganishi,unasubiri nini kutoka kwa mashekh mbona usihoji wala usisubiri tamko kwa kitendo cha kampeni meneja kuchukua kiburudishao cha ustaadh hapa igunga?<br />
Mawazo mgando hukimbilia uchonganishi
<br />
<br />
 
Akiongea DC wa igunga Fatuma kimario akiongea na waandishi wa habari mjini igunga amesema kuwa yeye ni desturi yake anapovaa nguo yoyote ni lazima avae Hijabu kwa hiyo kitendo cha kumvua hijabu ni sawa na kumuacha uchi, na kwa mujibu wa dini kiislamu ni udhalilishaji na kejeli kwa dini hiyo, tusubiri tamko la Masheikh.

Hakuna haja juu ya tamko la masheikh, kwa kitendo kile si UUNGWANA hata kidogo. Si ishara nzuri katika ustawi wa taifa hili, ni jambo linaloweza kutumiwa kama 'turufu' kubwa kwa oponents wa Chadema katika kinyang'anyiro jimboni Igunga. Kuwepo na ushindani wa hoja, si kuvunjiana UTU. I personally condemn kwa tendo hilo nikiwa ni HE.
 
Akiongea DC wa igunga Fatuma kimario akiongea na waandishi wa habari mjini igunga amesema kuwa yeye ni desturi yake anapovaa nguo yoyote ni lazima avae Hijabu kwa hiyo kitendo cha kumvua hijabu ni sawa na kumuacha uchi, na kwa mujibu wa dini kiislamu ni udhalilishaji na kejeli kwa dini hiyo, tusubiri tamko la Masheikh.
Mmm nasema hivi! CCM Kuwavua chu.. hawa Ma-DC kinamama kabla ya kuwapa cheo ni machukizo mbele za mungu na si mbele ukristo au uislamu.
Kuvuliwa Hijabu feki(sina uhakika kama alivuliwa au alivua) sioni kama ni kosa kubwa mbele za muumba kama hili la kuvuliwa chu.. kisha kupewa ukuu wa wilaya.
 
hi ni chuki ya wazi kwa chama makini je kama wangekuwa wa magamba wangeshikiliwa muda mrefu kiasi hicho AKILI ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO
 
Akiongea DC wa igunga Fatuma kimario akiongea na waandishi wa habari mjini igunga amesema kuwa yeye ni desturi yake anapovaa nguo yoyote ni lazima avae Hijabu kwa hiyo kitendo cha kumvua hijabu ni sawa na kumuacha uchi, na kwa mujibu wa dini kiislamu ni udhalilishaji na kejeli kwa dini hiyo, tusubiri tamko la Masheikh.

kwani alikuwa msikitini?
na dini yake inaruhusu aliyofanya? na kama dini yake hairuhusu adhabu ya mtu kama yeye kwenye dini yake ni nini?
wanyang'anyi wanafanya nini kwa dini yake?
hakuna mambo ya dini hapo hii ni siasa
ccm bado wanamlisha pumba huyu mama
 
Mimi ni muislam,na naelewa umuhim na thaman ya HIJABU KWA MWANAMKE WA KIISLAM.,YULE MAMA NIMEMUONA KWENYE T.V LEO,HIJABU HAIVALIWI VILE,YULE AMEVAA KITAMBAAA TU,,,,,,,NA KUHUSU CHADEMA NI KWELI HAWAKUMTENDEA HAKI,KUMPA KASHKASH AS WOMAN,ANGEKUWA MWANAUME KAMA TAMBWE AU NAPE AU KADA YEYOTE INGEKUWA SAWA,SI KWA MWANAMKE,KUTOKANA NA MAUMBILE YAKE,JE ANGEDONDOSHA SHANGA??????

mzee hii ni nchi na yeye aliapiswa kuwa mwadilifu kavunja kanuni ndio madhara yake
unataka kusema TAMWE angepona kwa wale mabausa na kitambi chake kaangalie tena ile picha
kuhusu NAPE kama unafuatilia vizuri habari za IGUNGA aliponea tundu la sindano kula kipondo kutoka kwamababusi hakatoka mbio
na gari
narudia tena hii ni nchi hakuna kuiba kwa kutumia viburudisho na kusema wanawake wamedhalilishwa? huyo ni kiburudisho na hapo alikuwa kwenye harakati za kuwatembea haki wanaompa raha, TAMWA wanasema mbona wako kimya ccm ndio wanapiga kelele
 
Mimi ni muislam,na naelewa umuhim na thaman ya HIJABU KWA MWANAMKE WA KIISLAM.,YULE MAMA NIMEMUONA KWENYE T.V LEO,HIJABU HAIVALIWI VILE,YULE AMEVAA KITAMBAAA TU,,,,,,,NA KUHUSU CHADEMA NI KWELI HAWAKUMTENDEA HAKI,KUMPA KASHKASH AS WOMAN,ANGEKUWA MWANAUME KAMA TAMBWE AU NAPE AU KADA YEYOTE INGEKUWA SAWA,SI KWA MWANAMKE,KUTOKANA NA MAUMBILE YAKE,JE ANGEDONDOSHA SHANGA??????
<br />
<br />
teteh teh teh teh
 
Akiongea DC wa igunga Fatuma kimario akiongea na waandishi wa habari mjini igunga amesema kuwa yeye ni desturi yake anapovaa nguo yoyote ni lazima avae Hijabu kwa hiyo kitendo cha kumvua hijabu ni sawa na kumuacha uchi, na kwa mujibu wa dini kiislamu ni udhalilishaji na kejeli kwa dini hiyo, tusubiri tamko la Masheikh.
<br />
<br />
We ndugu yangu mbona unapenda kutoa hoja za uchochozi wa kidini?Wakwenda pale kwa nia ya kumvua hijabu.Shida na haja ya chadema ni kutaka kujua kwanini aliongoza kikao hicho wakati na wao walikua na mkutano wa Kampeni?Penye kurupushani kuna kua na mengi hivyo unaweza kujenga hoja kwamba halikua kusudi lao kumvua hijabu.Je tamko la Mashehe litazungumzia nini?Tanzania ni secular state hivyo haimini katika misingi ya dini yoyote,acha tabia za kuzungumzia mambo ya udini ni hatari.
 
Akiongea DC wa igunga Fatuma kimario akiongea na waandishi wa habari mjini igunga amesema kuwa yeye ni desturi yake anapovaa nguo yoyote ni lazima avae Hijabu kwa hiyo kitendo cha kumvua hijabu ni sawa na kumuacha uchi, na kwa mujibu wa dini kiislamu ni udhalilishaji na kejeli kwa dini hiyo, tusubiri tamko la Masheikh.
simple minded hapo kwenye red..................yaani ingekua kabla ya kujiunga na JF wanapima IQ, nadhani usingekua member humu
 
Hakuna haja juu ya tamko la masheikh, kwa kitendo kile si UUNGWANA hata kidogo. Si ishara nzuri katika ustawi wa taifa hili, ni jambo linaloweza kutumiwa kama 'turufu' kubwa kwa oponents wa Chadema katika kinyang'anyiro jimboni Igunga. Kuwepo na ushindani wa hoja, si kuvunjiana UTU. I personally condemn kwa tendo hilo nikiwa ni HE.

Nothing to be condemned whatsoever. Matokeo ya dhuruma inapopindukia kupita kiasi watu wanashikwa na hasira na kujichukulia sheria mkononi. This is due to lack of general fairness in our society, condemn nothing at all but fisadis.
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
We ndugu yangu mbona unapenda kutoa hoja za uchochozi wa kidini?Wakwenda pale kwa nia ya kumvua hijabu.Shida na haja ya chadema ni kutaka kujua kwanini aliongoza kikao hicho wakati na wao walikua na mkutano wa Kampeni?Penye kurupushani kuna kua na mengi hivyo unaweza kujenga hoja kwamba halikua kusudi lao kumvua hijabu.Je tamko la Mashehe litazungumzia nini?Tanzania ni secular state hivyo haimini katika misingi ya dini yoyote,acha tabia za kuzungumzia mambo ya udini ni hatari.
<br />
<br />
Hatuwezi kuacha kuwakemea na tabia yao hiyo, wewe umemsikia heche amesema watafanya hivyo kwa mkuu wa mkoa hata kwa mkuu wa nchi. hii ni nchi inaongozwa kwa kufuata sheria si kihuni kihuni. DC anahaki ya kufanya mkutano mahali popote, muda wowote, siku yoyote hata kama kuna mkutano wa uchaguzi. soma sheria za uchaguzi.
 
Mimi ni muislam,na naelewa umuhim na thaman ya HIJABU KWA MWANAMKE WA KIISLAM.,YULE MAMA NIMEMUONA KWENYE T.V LEO,HIJABU HAIVALIWI VILE,YULE AMEVAA KITAMBAAA TU,,,,,,,NA KUHUSU CHADEMA NI KWELI HAWAKUMTENDEA HAKI,KUMPA KASHKASH AS WOMAN,ANGEKUWA MWANAUME KAMA TAMBWE AU NAPE AU KADA YEYOTE INGEKUWA SAWA,SI KWA MWANAMKE,KUTOKANA NA MAUMBILE YAKE,JE ANGEDONDOSHA SHANGA??????
Mtindo wa CCM kuwatumia ma DC na ma RC kwenye kampeni za kisiasa ikiwa ni pamoja na wizi wa kura kutakuja waletea watendaji hawa matatizo makubwa pindi wananchi watakapoamua kujichukulia sheria mikononi.
Taatizo hapa ni kwamba hawa ndiyo wanaotumika katika njama zote za kuihujumu demokrasia, kuanzia kuzuia mikutano ya vyama vya siasa, kugawa rushwa hadi kuiba kura.
Yapo maswali mengi ya kujiuliza kabla hatujaanza kumwonea huruma huyu mama mvaa mtandio anaouita hijab, kwani alikuwa akifanya nini vichochoroni kule kwenye eneo CHADEMA walipokuwa wakifanyia mkutano wao? Sijui atasema alienda kufanya nini, lakini mazingira ya uwepo wake kule yanaashiria hujuma kwa demokrasia. Alienda peke yake (Bila walinzi), eneo ambalo wanasiasa walikuwa wakieleza mapungufu ya wapinzani wao, maneno ambayo kwa kawaida huzalisha hamasa na hasira na sina uhakika endapo angebambwa na wananchi wenye hasira kali kama wangemwacha salama. Hivi ni lini vibaraka hawa wa CCM watakoma kuihujumu demokrasia?

 
<br />
<br />
Hatuwezi kuacha kuwakemea na tabia yao hiyo, wewe umemsikia heche amesema watafanya hivyo kwa mkuu wa mkoa hata kwa mkuu wa nchi. hii ni nchi inaongozwa kwa kufuata sheria si kihuni kihuni. DC anahaki ya kufanya mkutano mahali popote, muda wowote, siku yoyote hata kama kuna mkutano wa uchaguzi. soma sheria za uchaguzi.

Ungetusaidi sheria inayompa uhuru huo, DC mwenyewe ni mvivu wa kufikiri...
 
Status
Not open for further replies.
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom