Itakuwa busara cdm wakikataa kumpokea huyu kijana kwa lengo la kumsimamisha kuwa kugombea ubunge labda awe mwanachama wa kawaidi kwa sababu zifuatazo:
1. Mkosamali ana uwezo wa kawaida sana kiasi kwamba atawasumbua wakati wa kumnadi labda angekuwa na uwezo km wa kafulila angefikiriwa.
2. Alishinda kwa kubebwa sana na baadhi ya viongozi wa dini ambao walikuwa na ugomvi na mgombea wa ccm kwa kuwa aliwahi kuwashtaki mahakamani na kutakiwa na mahakama kumlipa mamilioni ya fedha na pia mgombea huyo wa ccm anasemekana kuwa ni jambazi, endapo ccm watambadilisha itakuwa hatari sana kwa chadema.
3. Hadi leo hana hata chembe alichokifanya ktk jimbo ile hali wakati wa kampeni alitoa ahadi nyingi sana kwa kusema atazikamilisha ndani ya muda mufupi hivyo ccm watapata mahala pa kushikia kwa kusema wapinzania hawawezi kuwaona mawaziri ndo maana hata huyu hadi leo hana alichoweza
4. Kesi yake ni kubwa sana na ana asilimia nyingi sana za kushindwa na ndo maana anahangaika mapema hivi, kwa mtaji huu chadema wampokee au wasimpokee uchaguzi mdogo itakuwa ni lazima.
5. Huyu mkosamali ni miezi 3 kabla ya uchaguzi wa mwaka jana alikuwa ni kiongozi wa vijana wa chadema wilaya na alihamia nccr yeye na Moses machali wa kasulu mjini kwa taarifa zisizo rasmi kuwa mbatia atawapa pesa za uchaguzi ambazo chadema walisema hawataweza kuwapa kwa uchaguzi ule. Km aliweza kuhama kwa sababi mbovu km hii kuna haja gani ya kumpokea? Akipewa pesa na ccm si atatuuzia jimbo?
6. Chadema kwa sasa ina vijana wengi waadilifu na wenye mapenzi ya kweli km vile kashindye wa igunga watakaoweza kupeperusha bendera ktk uchaguzi mdogo na sio tuokoteze hawa wasioeleweka misimamo yao na kuwakabidhi majimbo.
Chadema imara itajengwa na wanachama imara,
Viva chadema viva Tanzania
Naomba kuwasilisha
1. Mkosamali ana uwezo wa kawaida sana kiasi kwamba atawasumbua wakati wa kumnadi labda angekuwa na uwezo km wa kafulila angefikiriwa.
2. Alishinda kwa kubebwa sana na baadhi ya viongozi wa dini ambao walikuwa na ugomvi na mgombea wa ccm kwa kuwa aliwahi kuwashtaki mahakamani na kutakiwa na mahakama kumlipa mamilioni ya fedha na pia mgombea huyo wa ccm anasemekana kuwa ni jambazi, endapo ccm watambadilisha itakuwa hatari sana kwa chadema.
3. Hadi leo hana hata chembe alichokifanya ktk jimbo ile hali wakati wa kampeni alitoa ahadi nyingi sana kwa kusema atazikamilisha ndani ya muda mufupi hivyo ccm watapata mahala pa kushikia kwa kusema wapinzania hawawezi kuwaona mawaziri ndo maana hata huyu hadi leo hana alichoweza
4. Kesi yake ni kubwa sana na ana asilimia nyingi sana za kushindwa na ndo maana anahangaika mapema hivi, kwa mtaji huu chadema wampokee au wasimpokee uchaguzi mdogo itakuwa ni lazima.
5. Huyu mkosamali ni miezi 3 kabla ya uchaguzi wa mwaka jana alikuwa ni kiongozi wa vijana wa chadema wilaya na alihamia nccr yeye na Moses machali wa kasulu mjini kwa taarifa zisizo rasmi kuwa mbatia atawapa pesa za uchaguzi ambazo chadema walisema hawataweza kuwapa kwa uchaguzi ule. Km aliweza kuhama kwa sababi mbovu km hii kuna haja gani ya kumpokea? Akipewa pesa na ccm si atatuuzia jimbo?
6. Chadema kwa sasa ina vijana wengi waadilifu na wenye mapenzi ya kweli km vile kashindye wa igunga watakaoweza kupeperusha bendera ktk uchaguzi mdogo na sio tuokoteze hawa wasioeleweka misimamo yao na kuwakabidhi majimbo.
Chadema imara itajengwa na wanachama imara,
Viva chadema viva Tanzania
Naomba kuwasilisha