CHADEMA kumtema mbunge wa NCCR (Mkosamali)

2015

Senior Member
Aug 13, 2011
123
40
Itakuwa busara cdm wakikataa kumpokea huyu kijana kwa lengo la kumsimamisha kuwa kugombea ubunge labda awe mwanachama wa kawaidi kwa sababu zifuatazo:

1. Mkosamali ana uwezo wa kawaida sana kiasi kwamba atawasumbua wakati wa kumnadi labda angekuwa na uwezo km wa kafulila angefikiriwa.

2. Alishinda kwa kubebwa sana na baadhi ya viongozi wa dini ambao walikuwa na ugomvi na mgombea wa ccm kwa kuwa aliwahi kuwashtaki mahakamani na kutakiwa na mahakama kumlipa mamilioni ya fedha na pia mgombea huyo wa ccm anasemekana kuwa ni jambazi, endapo ccm watambadilisha itakuwa hatari sana kwa chadema.

3. Hadi leo hana hata chembe alichokifanya ktk jimbo ile hali wakati wa kampeni alitoa ahadi nyingi sana kwa kusema atazikamilisha ndani ya muda mufupi hivyo ccm watapata mahala pa kushikia kwa kusema wapinzania hawawezi kuwaona mawaziri ndo maana hata huyu hadi leo hana alichoweza

4. Kesi yake ni kubwa sana na ana asilimia nyingi sana za kushindwa na ndo maana anahangaika mapema hivi, kwa mtaji huu chadema wampokee au wasimpokee uchaguzi mdogo itakuwa ni lazima.

5. Huyu mkosamali ni miezi 3 kabla ya uchaguzi wa mwaka jana alikuwa ni kiongozi wa vijana wa chadema wilaya na alihamia nccr yeye na Moses machali wa kasulu mjini kwa taarifa zisizo rasmi kuwa mbatia atawapa pesa za uchaguzi ambazo chadema walisema hawataweza kuwapa kwa uchaguzi ule. Km aliweza kuhama kwa sababi mbovu km hii kuna haja gani ya kumpokea? Akipewa pesa na ccm si atatuuzia jimbo?
6. Chadema kwa sasa ina vijana wengi waadilifu na wenye mapenzi ya kweli km vile kashindye wa igunga watakaoweza kupeperusha bendera ktk uchaguzi mdogo na sio tuokoteze hawa wasioeleweka misimamo yao na kuwakabidhi majimbo.

Chadema imara itajengwa na wanachama imara,
Viva chadema viva Tanzania

Naomba kuwasilisha
 
Mkuu unataka kunyemelea jimbo au?

Mimi jimbo langu ni kasulu mjini na sio muhambwe la kibondo ila ni mwanachama muadilifu wa chadema ninaeamini chadema ni yetu na tutaijenga sisi wenyewe na sio hawa maweru weru
 
Mimi jimbo langu ni kasulu mjini na sio muhambwe la kibondo ila ni mwanachama muadilifu wa chadema ninaeamini chadema ni yetu na tutaijenga sisi wenyewe na sio hawa maweru weru

Kumbe mnajuana!! Huenda una mtu wako huko Muhambwe!! Hivi mzee Ntagazwa aligombea jimbo gani na kwa ticket ya chama gani?
 
Itakuwa busara cdm wakikataa kumpokea huyu kijana kwa lengo la kumsimamisha kuwa kugombea ubunge labda awe mwanachama wa kawaidi kwa sababu zifuatazo:

1. Mkosamali ana uwezo wa kawaida sana kiasi kwamba atawasumbua wakati wa kumnadi labda angekuwa na uwezo km wa kafulila angefikiriwa.

2. Alishinda kwa kubebwa sana na baadhi ya viongozi wa dini ambao walikuwa na ugomvi na mgombea wa ccm kwa kuwa aliwahi kuwashtaki mahakamani na kutakiwa na mahakama kumlipa mamilioni ya fedha na pia mgombea huyo wa ccm anasemekana kuwa ni jambazi, endapo ccm watambadilisha itakuwa hatari sana kwa chadema.

3. Hadi leo hana hata chembe alichokifanya ktk jimbo ile hali wakati wa kampeni alitoa ahadi nyingi sana kwa kusema atazikamilisha ndani ya muda mufupi hivyo ccm watapata mahala pa kushikia kwa kusema wapinzania hawawezi kuwaona mawaziri ndo maana hata huyu hadi leo hana alichoweza

4. Kesi yake ni kubwa sana na ana asilimia nyingi sana za kushindwa na ndo maana anahangaika mapema hivi, kwa mtaji huu chadema wampokee au wasimpokee uchaguzi mdogo itakuwa ni lazima.

5. Huyu mkosamali ni miezi 3 kabla ya uchaguzi wa mwaka jana alikuwa ni kiongozi wa vijana wa chadema wilaya na alihamia nccr yeye na Moses machali wa kasulu mjini kwa taarifa zisizo rasmi kuwa mbatia atawapa pesa za uchaguzi ambazo chadema walisema hawataweza kuwapa kwa uchaguzi ule. Km aliweza kuhama kwa sababi mbovu km hii kuna haja gani ya kumpokea? Akipewa pesa na ccm si atatuuzia jimbo?
6. Chadema kwa sasa ina vijana wengi waadilifu na wenye mapenzi ya kweli km vile kashindye wa igunga watakaoweza kupeperusha bendera ktk uchaguzi mdogo na sio tuokoteze hawa wasioeleweka misimamo yao na kuwakabidhi majimbo.

Chadema imara itajengwa na wanachama imara,
Viva chadema viva Tanzania

Naomba kuwasilisha

Mkuuu ujui historia ya mbunge umesemaye,
Tatizo ni wivu.?
Mbona alikuja shibuda na akashinda kwa tiketi ya CDM
 
Kumbe mnajuana!! Huenda una mtu wako huko Muhambwe!! Hivi mzee Ntagazwa aligombea jimbo gani na kwa ticket ya chama gani?

Muhambwe ndo jimbo la huyu huyu mkosamali, pale kwa yule mzee chadema walikosea ila ikikosea. Mambo ya kuwa na mtu uyapeleke ccm chadema wote mnachukua form km ilivyofanyika igunga then mwenye kura nyingu anateuliwa, pia mtu ukiwa na unatoka karibu na mtu fulani hautakiwi kutoa mtizamo wako? unatakiwa uangalie kilichoandikwa na sio aliyeandika anatoka wapi
 
Mbona mtoa mada kama anaonekana kuwa asiyeamin ktk alichokiandika!??
Hoja zaifu sana juu ya mbunge yule.
Amesahau kuwa kijana yule alijifanyia kampeni na kuwabwaga CCM NA CDM
Je wataka akafanye nini zaidi ya kushirikiana na wananchi waliomchagua yeye hapate wapi pesa ya kutatua mataizo ya watu wake.
 
kijana anajitahidi ila CDM wasimpe dhamana hiyo otherwise aende CCM wampige benchi ka Tambwe Hizza
 
Itakuwa busara cdm wakikataa kumpokea huyu kijana kwa lengo la kumsimamisha kuwa kugombea ubunge labda awe mwanachama wa kawaidi kwa sababu zifuatazo:

1. Mkosamali ana uwezo wa kawaida sana kiasi kwamba atawasumbua wakati wa kumnadi labda angekuwa na uwezo km wa kafulila angefikiriwa.

2. Alishinda kwa kubebwa sana na baadhi ya viongozi wa dini ambao walikuwa na ugomvi na mgombea wa ccm kwa kuwa aliwahi kuwashtaki mahakamani na kutakiwa na mahakama kumlipa mamilioni ya fedha na pia mgombea huyo wa ccm anasemekana kuwa ni jambazi, endapo ccm watambadilisha itakuwa hatari sana kwa chadema.

3. Hadi leo hana hata chembe alichokifanya ktk jimbo ile hali wakati wa kampeni alitoa ahadi nyingi sana kwa kusema atazikamilisha ndani ya muda mufupi hivyo ccm watapata mahala pa kushikia kwa kusema wapinzania hawawezi kuwaona mawaziri ndo maana hata huyu hadi leo hana alichoweza

4. Kesi yake ni kubwa sana na ana asilimia nyingi sana za kushindwa na ndo maana anahangaika mapema hivi, kwa mtaji huu chadema wampokee au wasimpokee uchaguzi mdogo itakuwa ni lazima.

5. Huyu mkosamali ni miezi 3 kabla ya uchaguzi wa mwaka jana alikuwa ni kiongozi wa vijana wa chadema wilaya na alihamia nccr yeye na Moses machali wa kasulu mjini kwa taarifa zisizo rasmi kuwa mbatia atawapa pesa za uchaguzi ambazo chadema walisema hawataweza kuwapa kwa uchaguzi ule. Km aliweza kuhama kwa sababi mbovu km hii kuna haja gani ya kumpokea? Akipewa pesa na ccm si atatuuzia jimbo?
6. Chadema kwa sasa ina vijana wengi waadilifu na wenye mapenzi ya kweli km vile kashindye wa igunga watakaoweza kupeperusha bendera ktk uchaguzi mdogo na sio tuokoteze hawa wasioeleweka misimamo yao na kuwakabidhi majimbo.

Chadema imara itajengwa na wanachama imara,
Viva chadema viva Tanzania

Naomba kuwasilisha

Well, alibebwa na viongozi wa dini? Huwezi kuthibitisha hili. Ninachojua ni kuwa viongozi wa dini walikemea rushwa sana, na mtaji wa CCM Muhambwe ulikuwa ni Rushwa.

Huyo mgombea wa CCM Jamal Tamim hakuwa safi (Kura za maoni za Wahusika wa Biashara za Maalbino alikuwa No. 1 wilaya ya Kibondo), hata Kamati ya Maadili ya CCM Mkoa haikuwa na imani naye.

By the way, kwa nini Castico alihamishwa kutoka Kigoma wakati wa kampeni? Ni kwa kuwa naye hakuwa anakubaliana na kupitishwa kwa Jamal.

CCM walijiangusha wenyewe Muhambwe kwa chaguo baya la mgombea na CHADEMA walifanya kosa kumweka Mzee Ntagazwa ambaye alishaboa sana. Hapo hata bila ya viongozi wa dini njia ilikuwa nyeupe kwa Mkosamali lakini alijipigania kiasi cha kutosha.
 
Hakuna sababu ya kuongeza zaidi gharama za uchaguzi. Bora aendelee kuwa mbunge kama alivyo, na litakapovunjwa bunge ndipo ajiunge na Chadema akipenda.
 
Mimi jimbo langu ni kasulu mjini na sio muhambwe la kibondo ila ni mwanachama muadilifu wa chadema ninaeamini chadema ni yetu na tutaijenga sisi wenyewe na sio hawa maweru weru
aisee....... kwahiyo chadema ni yenu??mbona hapo umeongea kama Nape aliyesema tanzania ina wenyewe??
 
He mbona huyu jamaa anaongea vapour? inamaana haoni tofauti ya kauli ya nape ya kwamba Tanzania ni ya CCM na ya huyu mr 2015 kwamba chadema ni yetu? shit! watu wengine bwana ni stereo type kwa kwenda mbele ni lazima wapinge hoja za wenzao and in so doing wanazidi kuwa mambumbumbu, niko very dissapointed ni kiwango cha michango ya watu wengine, yaani ili mradi tu apinge na aonyeshe kwamba hakuna tofauti lakini maisha bora ya kija ndio hao watakaokua wakwanza kufaidika na hatauliza kuna tofauti gani kati ya utawala wa CCM na chadema maana atakua ameshiba amevimbiwa, shame kabisa!
 
Mbona mbowe anauwezo wa kawaida sana kataka kufikiri kuliko mkosamali na mmempa uenyekiti wa chama au bso chama ni cha mkwe wake(mtei),kama ni kuhama chama mbona Dr slaa alikua mwanachama mwaminifu wa ccm au hilo hamlijui na leo ni katibu mkuu kwa nini asinge pewa prof.baregu ambae katika maisha yake hajawai kua ccm,kama hakuna alicho kifanya jimboni kwake mbona hata lema wa arusha hakuna alichokifanya zaidi ya kuwa na malumbano na viongozi wake wa chama jimboni.kama tatizo ni kesi inamwendea vibaya mbona hata lema wa arusha kesi yake lazima ashindwe.kamanda kama unanyemelea ubunge kwa chadema kaa vizuri ya mbowe kwani CDM sio chama bali ni kampuni
 
Mkosamali kimsingi ni kijana wetu ambaye alijichagulia kujifunza siasa hata akiwa mazingira nje ya CHADEMA lakini sasa AMEJIFUNZA kwamba nyumbani kwake sahihi ni CDM.

Sasa kijana akisharudi nyumbani na zile juhudi zake binafsi tunazozifahamu kwa rekodi ya hapo nyuma kidogo, ni vema tukampitisha kwenye tanuri lile lile la kuzingatia utaratibu wetu wa demokrasia ya ndani ya chama chetu ambapo binafsi nampa nafasi kubwa kuibuka mshini, CHADEMA tumpe huyu kijana sapoti ya nguvu.

Tunapojiuliza maswali ya msingi kama vile 'Mhe Mkosamali anatafuta nini tena CDM ambacho hakipati kule NCCR Mageuzi ambacho hashawishiki kwenda kukitafuta kupitia hata huko CCM au TLP wakati kama ni ubunge tayari yeye yuko mjengoni Dodoma???????' na jibu linaonekana wazi mno hapa chini.

Hakuna ubishi kwamba Mhe Mkosamali (1) anatafuta CHOMBO SAHIHI kumwezesha kutumikia vema wapiga kura wake, (2) anatafuta demokrasia ya ndani ya chama na kupewa nafasi ya kutosha KUWA CHACHU WA MABADILIKO YA KWELI HUKU AKICHEZA KAMA MWANA-TIMU anayepewa ushirikiano wa kutosha.

Ndio, nasema ya kwamba mbali na huyu ndugu yetu kuhitaji zaidi kutiwa moyo kama mfano bora VIJANA KUWA NI VIONGOZI WA LEO NA WA SI LAZIMA KUWA TU VIONGOZI WA KESHO; (3) Mhe Mkosamali kama mwanasiasa chipukizi kuliko wote katika Bunge letu hili kimsingi anatafuta MALEZI MEMA KISIASA ili baadaye naye aje awe kama Mwalimu Nyerere wa kizazi chetu hiki ambapo hakuna ubishi kwamba tunakabiliwa na changamoto za HITILAFU ZA MAADILI NA UONGOZI BORA.

Hakuna anayeshindwa kukubali kwamba huyu ndugu tayari anayo mtandao wake wa kutegemewa jimboni, aliyenayo MKAKATI MAENDELEO YA JIMBO iliobora zaidi kwa sasa ni Mhe Mkosamali.

Nawaamini sana viongozi wetu wa chama busara zao, umahiri katika maamuzi ya kidemokrasia hivyo kumsaidia zaidi kujenga jimbo lake na hivyo tutaweza kufanikiwa kupunguza idadi ya maadui wa kisiasa mkoani hapo, kutumia gharama ndogo kumpata mbunge kupitia kijana anayependwa sana mashinani, na kubwa zaidi kuweza kuteka majimbo mengine mengi maeneo ya hapo jirani.

Vijana tutazame mbele zaidi kuona picha kubwa kuliko kuendelea kutukuza vitu vidogovidogo. Maslahi ya Tanzania mbeeeeeele kama tai, mambo mengi yote baadaye.


kijana anajitahidi ila CDM wasimpe dhamana hiyo otherwise aende CCM wampige benchi ka Tambwe Hizza
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom