Habari watanzania wenzagu,
wahenga walisema kwa mpiganaji kurudi nyuma si kushindwa vita bali ni kujipanga tu.hawa C.C.M. wajanja sana aise maana wanaendeleza haya maneno yao ya kebehi ilimradi wabunge wa CHADEMA wajikute wanahangaika na na hayo mabishano kiasi kwamba washindwe hata kuwatumikia wananchi ili mwisho wa siku waje kuonekana hawana maana hata kidogo.cha msigi wachape kazi ili iwe mwiba mkali zaidi utakao wang`oa 2015.binafsi naamini uchaguzi ujao C.C.M watisoma namba
wahenga walisema kwa mpiganaji kurudi nyuma si kushindwa vita bali ni kujipanga tu.hawa C.C.M. wajanja sana aise maana wanaendeleza haya maneno yao ya kebehi ilimradi wabunge wa CHADEMA wajikute wanahangaika na na hayo mabishano kiasi kwamba washindwe hata kuwatumikia wananchi ili mwisho wa siku waje kuonekana hawana maana hata kidogo.cha msigi wachape kazi ili iwe mwiba mkali zaidi utakao wang`oa 2015.binafsi naamini uchaguzi ujao C.C.M watisoma namba