Chadema kumtambua kikwete wameona mbali,bado ni mwiba kwa c.c.m

mwene.1

New Member
Dec 14, 2010
1
0
Habari watanzania wenzagu,
wahenga walisema kwa mpiganaji kurudi nyuma si kushindwa vita bali ni kujipanga tu.hawa C.C.M. wajanja sana aise maana wanaendeleza haya maneno yao ya kebehi ilimradi wabunge wa CHADEMA wajikute wanahangaika na na hayo mabishano kiasi kwamba washindwe hata kuwatumikia wananchi ili mwisho wa siku waje kuonekana hawana maana hata kidogo.cha msigi wachape kazi ili iwe mwiba mkali zaidi utakao wang`oa 2015.binafsi naamini uchaguzi ujao C.C.M watisoma namba
 
Habari watanzania wenzagu,
wahenga walisema kwa mpiganaji kurudi nyuma si kushindwa vita bali ni kujipanga tu.hawa C.C.M. wajanja sana aise maana wanaendeleza haya maneno yao ya kebehi ilimradi wabunge wa CHADEMA wajikute wanahangaika na na hayo mabishano kiasi kwamba washindwe hata kuwatumikia wananchi ili mwisho wa siku waje kuonekana hawana maana hata kidogo.cha msigi wachape kazi ili iwe mwiba mkali zaidi utakao wang`oa 2015.binafsi naamini uchaguzi ujao C.C.M watisoma namba

CCM watasoma namba kama tu kuna tume huru ya uchaguzi, kiuhalali hata mwaka huu wangeisoma namba isingekuwa kuchakachuliwa kwa matokeo
 
Ni kweli mtanzania mwenzangu haya usemayo, lakini hao CHADEMA wanaona hili ni tatizo?au ni kama wasemavyo siasa za Tanzania ni za ubabaishaji.Unapiga kelele unapokuwa huna, ukipata kelele zinaisha. Ningependa kuona wabungea wanachangamkia matatizo ya wananchi na sio kugombania vyeo hapa inaashiria kuwa kila aingiapo madarakani atagombea tumbo lake na sio kama ilivyokuwa ikizungumzwa majukwaani..

Habari watanzania wenzagu,
wahenga walisema kwa mpiganaji kurudi nyuma si kushindwa vita bali ni kujipanga tu.hawa C.C.M. wajanja sana aise maana wanaendeleza haya maneno yao ya kebehi ilimradi wabunge wa CHADEMA wajikute wanahangaika na na hayo mabishano kiasi kwamba washindwe hata kuwatumikia wananchi ili mwisho wa siku waje kuonekana hawana maana hata kidogo.cha msigi wachape kazi ili iwe mwiba mkali zaidi utakao wang`oa 2015.binafsi naamini uchaguzi ujao C.C.M watisoma namba
 
Habari watanzania wenzagu,
wahenga walisema kwa mpiganaji kurudi nyuma si kushindwa vita bali ni kujipanga tu.hawa C.C.M. wajanja sana aise maana wanaendeleza haya maneno yao ya kebehi ilimradi wabunge wa CHADEMA wajikute wanahangaika na na hayo mabishano kiasi kwamba washindwe hata kuwatumikia wananchi ili mwisho wa siku waje kuonekana hawana maana hata kidogo.cha msigi wachape kazi ili iwe mwiba mkali zaidi utakao wang`oa 2015.binafsi naamini uchaguzi ujao C.C.M watisoma namba

uchaguzi ujao C.C.M watisoma namba

uchaguzi ujao C.C.M watisoma namba

uchaguzi ujao C.C.M watisoma namba

uchaguzi ujao C.C.M watisoma namba
 
DR SLAA ALIPATA 64% MKWERE JK 27% CH.....ZIKAWASHUKA WAKACHAKACHUA SASA UKWELI BWANA UNAUMA NGOJA TUONE ZIGO HILI LITAIFIKISHA WAPI CHAMA CHA MAJAMBAZI. MANAKE WAMEANZA NA SYTLE YA KUVAMIA DEGREE ZA HESHIMA KUPANDISHA PROFILE TOOO LATE, WAMEKUJA NA MBWEMBWE OOOOO WALIOVAMIA VIWANJA HEWA WALUDISHE TUTAONA, MARA VIONGOZI WANAFICHA MALI WATANGAZE ...TUTAONA... KILA MMOJA AMEKUJA KWA STYLE YA KUJISAFISHA MARA NO MGAO WA UMEME ....THREE DAYS LATER GIZANI IPO SHIDA KUBWA. KIONGOZI WA UMMA DR SLAA(PhD) anawanagalia tuuu wanavyoweweseka manake walifikia sehem wakatngaza hali ya hatri kupitia shimbo hii ilikuwa nooma
 
Back
Top Bottom