Tulianza na Mungu, tupo na Mungu, tunaendelea na Mungu na tutamaliza na Mungu.
Upinzani ilikuwa Enzi za mrema bana.kanga zinatandikwa chini gari inazimwa halafu inasukumwa na wananchi.hiyo record haijavunjwa na haitavunjwa.
Ni kweli nakubaliana na weweNamsifu sana huyu mpiga picha wetu kwa ustadi mkubwa na pixels za hali ya juu kwenye camera yake.
Hizi ni dalili za mtu aliyekata tamaa na anahitaji msaada, ya nini kujiumiza rafiki, (IF YOU CANT FIGHT CDM JOIN THEM)Upinzani ilikuwa Enzi za mrema bana.kanga zinatandikwa chini gari inazimwa halafu inasukumwa na wananchi.hiyo record haijavunjwa na haitavunjwa.
Ni kweli nakubaliana na weweNamsifu sana huyu mpiga picha wetu kwa ustadi mkubwa na pixels za hali ya juu kwenye camera yake.
Sipati picha CCM wakizindua wa kwao mji wote utafungwa.
Sipati picha CCM wakizindua wa kwao mji wote utafungwa.
Ha ha haaa. Umesema kweli Mkuu sensa ni muhimu. Lakini umenichekesha huo utani wa kula ugali kwa harufu au picha ya samaki. Wachaga huwatania wapare kuwa wamezoea tabia hiyoImpressive!
Heche afanye na sensa ya papo kwa papo pia ili kujua kwenye umati huu wangapi ni eligible voters.
Vinginevyo ni sawa na kula ugali kwa harufu ya samaki!!
Natamani aende na Lusinde na Chemba.je Mkapa ataenda tena kufungua kampeni ??