CHADEMA kumbe bado mpo Geita hadi Chato, hongereni sana

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,840
141,759
Nimeona ofisi zenu na wanachama wa kutosha hapo Geita mjini, hongereni sana akina bwashee.

Kadhalika nimeona mbwembwe zenu kule Chato mkiongozwa na mwanamama Husna, hongereni sana. Lindeni rasilimali mlizoachiwa na mwendazake Magufuli wakati serikali ikiendelea kutafakari ombi lenu la kupewa mkoa.

Sikutarajia Chadema kuwa "inaishi" huko Geita, hongera Upendo Peneza.

Kazi Iendelee.
 
Na itaendelea kuishi..

Utaiacha iko hai kama alivyoiacha mwendazake aliyejigamba kuizika badala yake akazikwa yeye.
Na itaendelea kuishi..

Utaiacha iko hai kama alivyoiacha mwendazake aliyejigamba kuizika badala yake akazikwa yeye.
sijui hata kama alipata muda wa kuungama kwa alivyowatendea wanachadema
 
Kati ya wilaya ambazo upinzani upo wa kutosha, Chato ni miongoni.

Na nikuibie siri tu kuwa katika wilaya ambazo mwendazake hakukubalika, Chato inaweza kuingia top five, hadi watu walisherehekea kifo chake! Ubinadamu kazi sana bora umfadhili mbuzi tu. Chato ilitakiwa wamuone ni heaven sent! Mtu unachukiwa hadi na ndugu dah! Anyway, sijui chanzo cha hayo yote, ila huo ndio uhalisia.
 
Kati ya wilaya ambazo upinzani upo wa kutosha, Chato ni miongoni.

Na nikuibie siri tu kuwa katika wilaya ambazo mwendazake hakukubalika, Chato inaweza kuingia top five, hadi watu walisherehekea kifo chake! Ubinadamu kazi sana bora umfadhili mbuzi tu. Chato ilitakiwa wamuone ni heaven sent! Mtu unachukiwa hadi na ndugu dah! Anyway, sijui chanzo cha hayo yote, ila huo ndio uhalisia.
Mti wenye matunda ndio hurushiwa mawe!
 
Kati ya wilaya ambazo upinzani upo wa kutosha, Chato ni miongoni.

Na nikuibie siri tu kuwa katika wilaya ambazo mwendazake hakukubalika, Chato inaweza kuingia top five, hadi watu walisherehekea kifo chake! Ubinadamu kazi sana bora umfadhili mbuzi tu. Chato ilitakiwa wamuone ni heaven sent! Mtu unachukiwa hadi na ndugu dah! Anyway, sijui chanzo cha hayo yote, ila huo ndio uhalisia.
Umeandika kwa hisia sana mkuu
 
ukita kuiua chadema popote pale,kamilisha kwa vitendo zile kurasa 300+ za ilani.

chadema ni watu,ukitaka kuiua,ua watu wote hapa Tanzania.
 
Back
Top Bottom