Luteni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 2,274
- 301
[FONT=ArialMT, sans-serif]Dk. Slaa amesema kutokana na wananchi wa Mbeya kuwa na imani na Chadema, chama hicho kitahitimisha kampeni zake Oktoba 30, mkoani Mbeya badala ya Dar es salaam kama inavyosomeka kwenye ratiba yao.[/FONT]
Wadau mnalionaje hili.
Wadau mnalionaje hili.