Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,941
- 9,947
Ukiona mtu anajadili mambo ya aina hii ujue ni dalili za fikra zilizonyauka.Taifa sasa hvi liko katika wakati mgumu,tutumie muda na raslimali zetu kulitoa Taifa hapa lilipo.Watanzania hawataki kusikia nani kalala na nani au nani mwenye vimada.Labda tupiganie kuweka mfumo wa kuhakikisha ufisadi na matumizi mabaya ya kodi za wananchi kugharamia matumizi binafsi yanakwisha.Badala ya kujadili ideas za kuhakikisha tunakuwa na taifa adilifu na kuweka mfumo wa kuzuia matanuzi kupitia kodi wewe unataka watu wajadili vitu vya hovyo ati nani kalala na nani.Watanzania wanataka kusikia hoja na fikra sahihi za kutukwamua hapa tulipo na si urijali wa kitandani.
Nuclear 1, It is absolutely wrong to use tax payers money to sponsor harlots, concubines, political thugs and politicians on yearly pilgrimages.Hapa ndipo tunapotakiwa kujadili.Vijana ambao hawajaoa/kuolewa kuwa na uchumba bila kuathiri public interests tangu lini ikawa uhaini?Acha uzushi na majungu na sasa tujadili ideas,tuachane na personal vendatta! Tuna kazi kubwa ya kubadilisha taifa hili kifikra,nitaanza hapa kukubadilisha wewe kifikra mkuu.
Sir,the demographic orientation of the nation today is youthful and the aspiration of the youth demands dynamism, vibrancy and change. Tanzanians now demand and clamor for old ideas to be discarded while new and fresh perspectives are embraced in an effort to find solutions to the socio-economic deadlock that the nation has been saddled with for so long!
It is our candid expectation that along with old ideas, the old, sacred and fat vultures of the old order will have enough wisdom to take a back seat and retire into oblivion.
Mkuu Ben umenena vyema na kama kawaida mimi huwa nazikubali post zako. Kwa sasa Tanzania ina tatizo kubwa la ufisadi; lakini mkuu Ben umewahi kupitia Kamusi ya Kiswahili Sanifu na kudurusu maana ya ufisadi. Bahati mbaya sina citation hapa lakini kama una nafasi na una Kamusi ipitie uone maana ya ufisadi. Hii itasaidia kuwa na mijadala hai na kulitumia neno fisadi katika muktadha muafaka.
Ben Tanzania pia inasumbuliwa na ukosefu wa uadilifu. Kuna Dr. (PhD) wangu aliniambia kuwa kuna utafiti ulifanywa na kuonyesha kwamba 75% ya makampuni (taasisi) yamefanikiwa kwa sababu ya kuwa na wafanyakazi waadilifu. Unaweza ukawa na wafanyakazi wote ambao vyuoni walipata distinctions lakini kama si waadilifu kampuni haiwezi kufanikiwa. Uadilifu ni neno pana kweli (kunatofauti kubwa kati ya Honesty na Integrity). Kutokuwa mwaminifu katika mahusiano pia ni ukosefu wa uadilifu. Kama si mwaminifu kwenye mahusiano huwezi kuwa mwaminifu kwenye maeneo mengine (ni mawazo yangu tu). Pia kiongozi yeyote ni public figure na yuko subject to public scrutiny in his/her public life.
Ni vyema tukasisitiza tuwe na viongozi waadilifu. Walichokisema vijana hapa ni Rushwa ya Ngono; sijui kama kuna lugha nyingine zaidi ya hiyo.
Sitaki mtu aje hapa na mfano wa Billy Jaferson.