Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,932
- 32,340
Majungu Express on the move...vijana hivi vyeo vitawaumiza sana matumbo fanyeni kazi mjiletee maendeleo kwani lazima wote muingie Bavicha? Heche sasa yuko kwenye full time employment hadi 2016.
Hivi kuambiwa ukweli ni majungu imeishakuwa kawaida Chadema wakielezwa mapungufu yao wewe badala ya kumjibu mleta mada unakimbilia Bavicha..
Wewe unaona sawa mtu mmoja kupewa vyeo 10?