TUNTEMEKE
JF-Expert Member
- Jun 15, 2009
- 4,587
- 579
- Thread starter
- #21
Ndugu yangu, Tuntemeke, ukileta ukosoaji wowote wa Chadema humu jukwaani, najua kitakachokupata.
Japo mimi sio Chadema na huwa huru to speak my mind, nimekusoma na kugundua mwenzangu una matatizo!. Kwa wewe ni Chadema, si busara kuleta sebuleni kuanika nguo zenu za ndani mbele ya wageni!. Acha kwanza huyu mgeni kwa jina la 'Arumeru' apite ndipo uendelee kutuanikia mauchafu yenu ya ndani mbele ya kadamnasi ya watu kwa kudhani yatasaidia!.
Kisaikolojia unaonekana kuna vitu umeumizwa, na inawezekana wewe nyota yako ni nnge, hivyo umedhamiria ku hit back with a sting, ili kujeruhi Chadema, ili kikiangukia pua huko Arumeru, wewe ndio upate gratification!.
Just do the right thing at the right time!, this is not the right time kwa hayo. Sasa Chadema needs to come together mote than anyother time, ili kikishindwa, kisitafute mchawi bali kikae chini na kujitathmini upya, sio kuangalia wapi kilipoangukia, bali pale walipo jikwaa!.
Leo Pasco umetoa point...
Huyu Tuntemeke anashida binafsi na viongozi wa juu wa chadema...akidhani kwa kufanya hivo itakuwa ni faida. Ngoja nifananishe cdm (chama kinachokua/kipya) na biashara mpya...Ukiwa wewe ni mfanyabiashara ukitaka faida kwa haraka na kuepuka gharama ya uendeshaji karibu kazi nyingi utafanya mwenyewe au utawapa wachache kazi nyingi iwezekanavyo ili kuepuka gharama za kuajiri wengi na kuwalipa... Tuntemeke haelewi misingi hii. Wakati bado chadema kinahitaji kukua na kujiendesha kwa kujitolea sana na kwa gharama kidogo sana maana nahisi hawana pesa nyingi za kuwa na team kubwa ya watu kugawana hizo titles anazotaka zisambazwe kwa wengi, basi hapo wachache watafanya kazi nyingi sana kwa gharama kidogo na huenda hata sehemu kubwa wanajitolea....suala hapo nadhani nani atapewa ... yeyote yule...Hata Tuntemeke ungeweza kuwa miongoni wao ila bahati mbaya umekuwa sio miongoni mwao au kama ni miongoni mwao basi wewe ni mnafiki na unashida kubwa sana kichwani mwako....
Nimefuatilia threads za Tuntemeke karibu zote yeye ni kwamba anakisilani na chadema...na nilishawahi sema kuwa ni wale walio tumwa au kununuliwa kwa mission maalum ya kubomoa chadema isifanikiwe. But hata kama cdm viongozi wake anawaona wanamapungufu mengi....ambapo siwezi kushangaa maana nao ni wanadamu....basi Tuntemeke unamapungufu mengi zaidi na unaonekana wazi sana katika threads zako. Pasco amekuambia unashida ya kisaikolojia na kuna kitu umeumizwa nacho....kuna ukweli mkubwa sana katika hilo. Sasa dawa si hivo unavo fanya bali ni heri kutulia au kuachana kabisa na huo mpango mbaya ulio nao haukuasidii wewe wala taifa letu
Furaha ya wanachadema ni kuona haya yanasemwa kule>>>>ccm,cuf,tlp...yaani hapo hamuwezi kumuita mtu mental impired au katumwa kuja kuichafua ccm,cuf na tlp.
Hivi mnajibu hoja au mnaegemea kuangalia huyu ninani na kapost nini?au kumchambua mtu ilihali hata maandishi hamjasoma?.
Tujadiliane juu ya hili la mrundikano wa vyeo na sio jina la TUNTEMEKE, yaani limekuwa mwiba kwenu?