Elections 2010 CHADEMA kuleta hoja ya kumuondoa Kikwete madarakani

AMARIDONG

JF-Expert Member
Jun 24, 2010
2,502
177
CHADEMA IMEPANIA KUTUMIA IBARA YA 46 YA KATIBA YA JAMHURI KUMUONDOA JK MADARAKANI IBARA HII INASEMA
""Bila ya kujali masharti ya ibara ya 46 ya Katiba hii, Bunge linaweza kupitisha azimio la kumuondoa Rais madarakani endapo itatolewa hoja ya kumshtaki Rais na ikapitishwa kwa mujibu wa masharti ya ibara hii.
(2) Bila ya kuathiri masharti mengineyo ya ibara hii, hoja yoyote ya kumshtaki Rais haitatolewa isipokuwa tu kama inadaiwa kwamba Rais-
Sheria ya ….
(a) ametenda vitendo ambavyo kwa jumla vinaivunja Katiba au Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma;
(b) ametenda vitendo ambavyo vinakiuka maadili yanayohusu uandikishwaji wa vyama vya siasa yaliyotajwa katika ibara ya 20 (2) ya Katiba, au
(c) amekuwa na mwenendo unaodhalilisha kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano"
JAMAA HAFAI KWANZA AMEVUNJA SHERIA KATIKA KUINGIA MADARAKANI NA PILI ANAKIDHLILISHA KITI CHA URAISI SASA HUU NI WAKATI WA UPINZANI WA KWELI NA BINAFSI NAWAUNGA MKONO CHADEMA ENDELEENI MBELE HUYU MKWERE HATUMTAKI.
 
Wazo Zuri sana lanini nionavyo ni kwamba Huyu Matheee Makinda ataufunga Mjadala kwa Speed ya light.
 
Mleta hoja ni mufilisi,hana jipya.Fanya kazi udumishe kipato chako achana na ndoto za abunuwasi kwani haitatokea ata siku moja wewe kuwa rais never ever!
 
""Bila ya kujali masharti ya ibara ya 46 ya Katiba hii,
Bunge linaweza kupitisha azimio la kumuondoa Rais madarakani
endapo itatolewa hoja ya kumshtaki Rais na ikapitishwa kwa
mujibu wa masharti ya ibara hii.
(2) Bila ya kuathiri masharti mengineyo ya ibara hii, hoja
yoyote ya kumshtaki Rais haitatolewa isipokuwa tu kama
inadaiwa kwamba Rais-
Sheria ya …. (a) ametenda vitendo ambavyo kwa jumla vinaivunja
Katiba au Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma;
(b) ametenda vitendo ambavyo vinakiuka maadili
yanayohusu uandikishwaji wa vyama vya siasa
yaliyotajwa katika ibara ya 20(2) ya Katiba, au
(c) amekuwa na mwenendo unaodhalilisha kiti cha Rais

Waupeleke bungeni tu na CCM watajimaliza wenyewe kwa wananchi kwa kutumia wingi wao kuukataa.............na kampeni ya kuwaondoa CCM wote madarakani itakuwa imeaanza.....................

Hii ni hoja yenye mashiko JK kavunja katiba kwa kuiba kura sasa ushahidi mwingine tunataka utoke wapi?
 
Kinacho niuzi ni jinsi CUF walivyodanganyika, embu angali Seif kadanganywa na u makamu wa rais huu ni uchu wa madaraka na sio upinzani sas yeye ni mtumishi wa serikali ya CCM lazima aitete serikali na sio wananchi sasa maanake nini? Asinge kubali angebakia kwenye upinzani wana wabunge wa kutosha Zanzibar upinzani halisi ungeanzia bungeni. Sasa hivi yupo kwenye magari ya serikali tuangalie kama atawaona wana CUF au ndio kesha jiunga na CCM kinyemela
 
CHADEMA IMEPANIA KUTUMIA IBARA YA 46 YA KATIBA YA JAMHURI KUMUONDOA JK MADARAKANI IBARA HII INASEMA

""Bila ya kujali masharti ya ibara ya 46 ya Katiba hii,
Bunge linaweza kupitisha azimio la kumuondoa Rais madarakani
endapo itatolewa hoja ya kumshtaki Rais na ikapitishwa kwa
mujibu wa masharti ya ibara hii.
(2) Bila ya kuathiri masharti mengineyo ya ibara hii, hoja
yoyote ya kumshtaki Rais haitatolewa isipokuwa tu kama
inadaiwa kwamba Rais-
Sheria ya …. (a) ametenda vitendo ambavyo kwa jumla vinaivunja
Katiba au Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma;
(b) ametenda vitendo ambavyo vinakiuka maadili
yanayohusu uandikishwaji wa vyama vya siasa
yaliyotajwa katika ibara ya 20(2) ya Katiba, au
(c) amekuwa na mwenendo unaodhalilisha kiti cha Rais
wa Jamhuri ya Muungano""jAMAA HAFAI KWANZA AMEVUNJA SHERIA KATIKA KUINGIA MADARAKANI NA PILI ANAKIDHLILISHA KITI CHA URAISI SASA HUU NI WAKATI WA UPINZANI WA KWELI NA BINAFSI NAWAUNGA MKONO CHADEMA ENDELEENI MBELE HUYU MKWERE HATUMTAKI.

Sio Ibara ya 46 bali ni Ibara ya 46A ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977. Ni vizuri kifungu hicho kikatumika angalau mara moja hata kama haitawezekana kumwondoa, kwani kiliwekwa cha nini?
 
Kinacho niuzi ni jinsi CUF walivyodanganyika, embu angali Seif kadanganywa na u makamu wa rais huu ni uchu wa madaraka na sio upinzani sas yeye ni mtumishi wa serikali ya CCM lazima aitete serikali na sio wananchi sasa maanake nini? Asinge kubali angebakia kwenye upinzani wana wabunge wa kutosha Zanzibar upinzani halisi ungeanzia bungeni. Sasa hivi yupo kwenye magari ya serikali tuangalie kama atawaona wana CUF au ndio kesha jiunga na CCM kinyemela
Maalimu ndicho alichokuwa anakitaka na si upinzani wa dhati,nawaonea huruma watu ambao ndugu zao wamepoteza maisha kwa ajili ya kutetea CUF huko Zanzibar na wengine waliopata vilema vya maisha,Seifu kawatupa yeye anaishi kwa raha mustarehe,hizi ndio siasa za waswahili
 
Kama Seif ana akili anaweza fight to humo humo CCM kama alivyofanya Odinga alipounganisha chama chake na KANU hali akajiondoa KANU sasa ni kama imekufa, lakini kwa Seif hawezi kwani hata umri wenyewe umemtupa mkono, amebakiza blabla kwa Mh. Mrema wakati wa kampeni alisema jamani mimi ni tembo mzee nimerudi nyumbani naomba huruma yenu hata kama ni kufa nikafie bungeni, hapo unategemea nini kwa watu kama hawa?
 
Maalimu ndicho alichokuwa anakitaka na si upinzani wa dhati,nawaonea huruma watu ambao ndugu zao wamepoteza maisha kwa ajili ya kutetea CUF huko Zanzibar na wengine waliopata vilema vya maisha,Seifu kawatupa yeye anaishi kwa raha mustarehe,hizi ndio siasa za waswahili

Angalia seif anavyokula kwa raha zake. CUF kwisha kazi. Nawashauri CUF watafute viongozi wengine ambao ni wapinzani wa kweli. Seif na wenzake wamewauza wanapigania haki wa CUF. Eti CUF ni chama cha upinzani. Hakuna kitu kama hicho tena. Exhibit hii hapa
 

Attachments

  • SEIF.JPG
    SEIF.JPG
    51.8 KB · Views: 104
Angalia seif anavyokula kwa raha zake. CUF kwisha kazi. Nawashauri CUF watafute viongozi wengine ambao ni wapinzani wa kweli. Seif na wenzake wamewauza wanapigania haki wa CUF. Eti CUF ni chama cha upinzani. Hakuna kitu kama hicho tena. Exhibit hii hapa

Hiyo picha inaonyesha kuwa sasa CUF si wapinzani tena. Kuna Thread Pasco amesema Upinzani sasa ni Chadema. Kinachonifurahisha mimi ni kuwa CCM inauwa vyama vyote vya upinzani na kubaki na mpinzani mmoja tu (CDM) badala ya kuwa na utitiri wa wapinzani!!
 
Waipeleke hiyo hoja bungeni. Tunajua CCM na vibaraka wake wataipinga kwa nguvu zote and most probably Spika ataizima lakini ujumbe itakua imewafikia wananchi kua kuna watu hawakubali uchakachuaji uliompa Kikwete Urais. Hapo message sent and definitely delivered
 
Ndugu zangu chadema... Tuwe makini na mambo mengine kwani vitu vingine vipo kwenye countries zanye justice hapa tanzania ipo?

Hata lewis makame was once a man with integrity, sasa hivi he is far worse than fr. Sixtus kimaro
 
Kinacho niuzi ni jinsi CUF walivyodanganyika, embu angali Seif kadanganywa na u makamu wa rais huu ni uchu wa madaraka na sio upinzani sas yeye ni mtumishi wa serikali ya CCM lazima aitete serikali na sio wananchi sasa maanake nini? Asinge kubali angebakia kwenye upinzani wana wabunge wa kutosha Zanzibar upinzani halisi ungeanzia bungeni. Sasa hivi yupo kwenye magari ya serikali tuangalie kama atawaona wana CUF au ndio kesha jiunga na CCM kinyemela


Yaani Mwapachu hawa CUF ni kichefuchefu mnooo. Sasa wanataka kutuletea na huku bongo, na nahisi jk atampa madaraka Lipumba na hapo ndo itakuwa mwisho kabisa wa CUF, si wamewagundua kuwa wana njaa na sio uchungu na nchi kama walivyokuwa wakidai. Kweli NJAA MBAYA:hippie:
 
CHADEMA IMEPANIA KUTUMIA IBARA YA 46 YA KATIBA YA JAMHURI KUMUONDOA JK MADARAKANI IBARA HII INASEMA

""Bila ya kujali masharti ya ibara ya 46 ya Katiba hii,
Bunge linaweza kupitisha azimio la kumuondoa Rais madarakani
endapo itatolewa hoja ya kumshtaki Rais na ikapitishwa kwa
mujibu wa masharti ya ibara hii.
(2) Bila ya kuathiri masharti mengineyo ya ibara hii, hoja
yoyote ya kumshtaki Rais haitatolewa isipokuwa tu kama
inadaiwa kwamba Rais-
Sheria ya …. (a) ametenda vitendo ambavyo kwa jumla vinaivunja
Katiba au Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma;
(b) ametenda vitendo ambavyo vinakiuka maadili
yanayohusu uandikishwaji wa vyama vya siasa
yaliyotajwa katika ibara ya 20(2) ya Katiba, au
(c) amekuwa na mwenendo unaodhalilisha kiti cha Rais
wa Jamhuri ya Muungano""jAMAA HAFAI KWANZA AMEVUNJA SHERIA KATIKA KUINGIA MADARAKANI NA PILI ANAKIDHLILISHA KITI CHA URAISI SASA HUU NI WAKATI WA UPINZANI WA KWELI NA BINAFSI NAWAUNGA MKONO CHADEMA ENDELEENI MBELE HUYU MKWERE HATUMTAKI.
utapata burevidonda vwatumbo kwakiraunachofikiri kuwakiwezekane pabayaunapotakakugusa unajuwa? ataikiruhusiwakwakura ccm wakowangapi?mjengon
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom