Wanabodi, mdudu anaekimaliza CCM tayari ameshaanza kuitafuna CHADEMA.
Jimbo la Nyamagana kuna mchezo mchafu sana unatumiwa na mwana CHADEMA mmoja ili kumtoa Wenje kwa maslahi ya umoja wa wafanyabiashara wa mjini Mwanza.
Kuna tetesi ya pesa nyingi sana zimechangwa kumchangia mgombea wa ubunge kupia CHADEMA ambaye ana influence kubwa kwa wafanyabiashara wa Tanzania, yeye ni mtu wa juu sana kwa umoja wa wafanyabiashara wa Tanzania.
Amefanikiwa sana hata kuiteka safu ya uongozi wa CHADEMA Wilaya na Mkoa kwa lengo la kummaliza Wenje kweye kura za maoni.
Kosa la Wenje ni kuwekeza kwa machinga na mama ntilie na kuwasahau wafanyabiashara wakubwa.
Jimbo la Nyamagana kuna mchezo mchafu sana unatumiwa na mwana CHADEMA mmoja ili kumtoa Wenje kwa maslahi ya umoja wa wafanyabiashara wa mjini Mwanza.
Kuna tetesi ya pesa nyingi sana zimechangwa kumchangia mgombea wa ubunge kupia CHADEMA ambaye ana influence kubwa kwa wafanyabiashara wa Tanzania, yeye ni mtu wa juu sana kwa umoja wa wafanyabiashara wa Tanzania.
Amefanikiwa sana hata kuiteka safu ya uongozi wa CHADEMA Wilaya na Mkoa kwa lengo la kummaliza Wenje kweye kura za maoni.
Kosa la Wenje ni kuwekeza kwa machinga na mama ntilie na kuwasahau wafanyabiashara wakubwa.