Chadema Kuimeza CCM? Tizama hiki kibonzo!

Shadow

JF-Expert Member
May 19, 2008
2,897
671
Katuni%2BNov%2B28.jpg
 
Mhh! Chatu, sipendid mipicha picha ya nyoka nyoka, lakini nitafurahi ikitokea...
 
Ingependeza sana kwani tumechoka na utawala wa chama kimoja tangu enzi za mwl.
 
Hapa tuzidi kumuomba Mungu kwani itawezekana sana tu,angalia serikali hii ya CCM na vilaza wao ati wanasherehekea miaka 49 ya uhuru halafu wanajigamba tumefika mbali nyambafu mbali wanakufahamu wao na sio mie angalia kajimvua kadogo tu Dar kama kitivo cha mpunga,umeme,maji safi hakuna ati sherehe za uhuru ni sawa kusherehekea lkn wasitudanganye ati tumefika mbali wakati vitu vidogo tu wanashindwa kusimamia.Wao wanasherehekea jinsi wanavyoshiba kwani pale watatenga hela kubwa tu then wanasema ilikuwa ya maandalizi ya sherehe kumbe watatumia kidogo tu then nyingi wanagawana nyambafu i hate CCM na serikali yake na Rais wao pia
 
chura na chatu =cc =sasa tutafakari herufi ya mwisho itayojazia hapo....la ziada siwapendi wote chura na chatu
 
Katuni mchemsho tu hii! Chadema imeze CCM ambayo tayari imeshameza wengine ili ibakie peke yake, au??! Si tutabakiwa na chama kimoja kisichokuwa na mpinzani, hivyo kurudi kule kule tulikotoka. Isitoshe, kama kikaragosi kinavyoonekana, baada ya chura kufanikisha kummeza nyoka lazima atabadilika umbo na rangi na kuwa dudu jingine tu, maana umbo la nyoka kwa uwiano ni kubwa mara kadhaa ya huyo chura.
 
Katuni mchemsho tu hii! Chadema imeze CCM ambayo tayari imeshameza wengine ili ibakie peke yake, au??! Si tutabakiwa na chama kimoja kisichokuwa na mpinzani, hivyo kurudi kule kule tulikotoka. Isitoshe, kama kikaragosi kinavyoonekana, baada ya chura kufanikisha kummeza nyoka lazima atabadilika umbo na rangi na kuwa dudu jingine tu, maana umbo la nyoka kwa uwiano ni kubwa mara kadhaa ya huyo chura.
<br />
<br />
steve kulikoni kunihusisha na kunitaja kwenye hiyo katuni eti MCHEMSHO..
 
Kuwa ruled na chama kimoja co kosa kama ve maendeleo yanaonekana bt kama -ve maendeleo ndyo 2nayo kumbana nayo bac leave chadema watake nafasi but nt otherwise. Poa mazee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom