Azizi Mussa
JF-Expert Member
- May 9, 2012
- 9,172
- 7,428
- Thread starter
- #21
kwa hiyo kumbe tunatakiwa tuwe tunatoa mawazo yetu kwa kulenga kusifiwa, tena na watu fulani! Alaaaaa! mimi sikujua.Nashukuru kwa taarifa.
kwa hiyo kumbe tunatakiwa tuwe tunatoa mawazo yetu kwa kulenga kusifiwa, tena na watu fulani! Alaaaaa! mimi sikujua.Nashukuru kwa taarifa.
Umanikumbusha muvi moja ya vita ambapo askari walikamata adui yao akiwa na silaha ambayo hawakujua kuitumia. Basi wakamwambia awaonyeshe jinsi ya kutumia ile silaha ili waifaidi wao akakubali... Akaikoki silaha akawaambia hivi ndivyo inavyotumika, huku akiwa amewageuzia.... Nadhani unajua nini kilitokea.
Kitendo tuu cha kuzibaini fursa tayari hiyo ni fursa. Kujua namna ya kuitumia hiyo fursa nayo pia ni fursa na kisha kuichangamkia kuitumia nayo pia ni fursa!. Very unfortunately Chadema hawana watu wenye uwezo huo!.
Pasco
kwa hiyo kumbe tunatakiwa tuwe tunatoa mawazo yetu kwa kulenga kusifiwa, tena na watu fulani! Alaaaaa! mimi sikujua.Nashukuru kwa taarifa.
kwa hiyo kumbe tunatakiwa tuwe tunatoa mawazo yetu kwa kulenga kusifiwa, tena na watu fulani! Alaaaaa! mimi sikujua.Nashukuru kwa taarifa.
Mkuu unajua kujenga hoja vizuri,
Hiyo mipango mikakati hata chauma wanaihitaji kwa hiyo anaweza kuipeleka huko pia!
Kitendo tuu cha kuzibaini fursa tayari hiyo ni fursa. Kujua namna ya kuitumia hiyo fursa nayo pia ni fursa na kisha kuichangamkia kuitumia nayo pia ni fursa!. Very unfortunately Chadema hawana watu wenye uwezo huo.
Pasco
hiyo mipango mikakati kwann isiwe kwa ccm au cuf lakin nyie ni chadema tu? Jaman hamna vyama vingine kama chauma tlp dp vya kuvishauri hiyo mipango mikakati yenu?
Kama vipi andika waraka wa siri.Uite waraka wa siri juu ya mwenendo wa betlehem toka mwaka......, hadi mwaka......,. Nina uhakika ukijipanga vizuri hushindwi kuandika page tatu za MS Word.Ukiona unakosa vichombezo vizuri, muombe (.........) akusaidie kuchomeka vi paragraph huko kati kati.Nakuhakikishia utapata uungwaji mkono mkubwa tu .Cha msingi hakikisha unamalizia kwa kusema betlehem kahongwa, ni msaliti na muhaini.Betlehem
na wewe umeanza kula pesa za zitto nini? DR Kitila ana utaalamu wa kuandaa mikakati gani?
Chamedema hawashauriki kabisa.