Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,802
Wakati CUF wakijipanga ni jinsi gani ya kurudisha jimbo la Kinondoni kupitia ukawa baada ya mbunge wao kujiondoa.
CHADEMA nao wanajipanga kuweka mgombea jimbo la Kinondoni kama ilivyokuwa jimbo la Segerea.
Kitendo cha CHADEMA kuweka mgombea jimbo la Kinondoni katika uchaguzi wa marudio ni dhahiri ni kwamba wanajipanga kumpa ushindi Mtulia kwa sababu wanajua kura zitagawanyika .
Hivyo ushiriki wa CHADEMA jimbo la Kinondoni ni kwamba wamejianda kugawa kura za CUF ili CCM aibuke mshindi.
CHADEMA nao wanajipanga kuweka mgombea jimbo la Kinondoni kama ilivyokuwa jimbo la Segerea.
Kitendo cha CHADEMA kuweka mgombea jimbo la Kinondoni katika uchaguzi wa marudio ni dhahiri ni kwamba wanajipanga kumpa ushindi Mtulia kwa sababu wanajua kura zitagawanyika .
Hivyo ushiriki wa CHADEMA jimbo la Kinondoni ni kwamba wamejianda kugawa kura za CUF ili CCM aibuke mshindi.