Tusigeuze Bunge kuwa kama darasa la wanafunzi-Profesa ShivjiMwalimu ana haki ya kumuadhibu mwanafunzi.
Kanuni namba ngapi hiyo?Kosa la kinidhamu usikilizwe nini sasa? Yaani ni sawa na mzazi anamkuta mtoto anaiba halafu anampa nafasi ya kujitetea.. ni kulea maovu.
Kanuni za bunge ziko wazi, zinaruhusu adhabu kutolewa pasipo watuhumiwa kujitetea. Ama kweli nyumbu atabaki kuwa nyumbu tu. Wenye akili zao wanayaendesha wanavyotaka,
Angalia kanuni namba 72, 73, 74 na 76Kanuni namba ngapi hiyo?
Pesa za umma ndio au ulijua pesa za ccmchadema tunaomba report zenu za fedha, hapa nanusa ufisadi, hizo ni pesa za uma.