Wenyeviti na Makatibu wa Mikoa wa CHADEMA nchini wameazimia kufanyika kwa maadhimisho makubwa ya kuanzishwa kwa Chama chao. Wenyeviti hao waliokuwa kwenye semina ya kujengewa uwezo na kufanya Operesheni M4C Wilayani Karagwe Mkoani Kagera wameazimia hayo katika kikao chao cha kufunga na kufanya majumuisho ya semina yao.
Maadhimisho yatakuwa na shughuli mbalimbali ikiwamo mashindano ya wanafunzi kitaaluma, kurejesta wanachama wapya na shughuli nyingine mbalimbali. Kilele cha sherehe hizo kitakuwa tarehe 19 July 2012
Maadhimisho yatakuwa na shughuli mbalimbali ikiwamo mashindano ya wanafunzi kitaaluma, kurejesta wanachama wapya na shughuli nyingine mbalimbali. Kilele cha sherehe hizo kitakuwa tarehe 19 July 2012