😅😅Watasema kuna ujangiri
😅😅Watasema kuna ujangiri
Kwani Uhuru Ni wa CCM?Kwa taarifa na kauli mnasusia kila kitu cha nchi hii uhuru unawahusu nini!
Karibu sanaNitahudhuriaView attachment 2026166
Chukueni na mwenge basi!Kwani Uhuru Ni wa CCM?
UA na wenyewe mnataka kuupora Kama mlivyo fanya kwenye viwanja vya Moira!
Chukueni mwenge pia mkafanyie taa!Tunasusia kila kitu cha nchi, kwani hiyo hafla inafanyikia nje ya nchi? Hakuna kukaa na mtu mwenye hila hata kama ni sherehe ya nchi. Kila mtu asherehekee kivyake.
Makao makuu yenu si yapo ubelgiji ofisi ndogo canada mnahusikaje nchi hii!Uhuru wa nchi sio wa ccm Mwamba jiongoze basi hata kidogo hata kama unalipwa per comment/ post
Vipi mpewe na mwenge maana nayo ni mali ya wananchi!
Chukueni mwenge pia mkafanyie taa!
Yako chatoMakao makuu yenu si yapo ubelgiji ofisi ndogo canada mnahusikaje nchi hii!
Kukimbiza kopo la kishirikina ni chukizo kwa MunguVipi mpewe na mwenge maana nayo ni mali ya wananchi!