Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,368
- 217,416
mpaka leo unaogopa polisi ?Naona Ile Siku Muhimu Ya Askari Police Wa Tanzania Kufanya Mazoezi Ya Kulenga Shabaha Kwa " NYUMBU " Aina Ya WAPUMBAVU Na MALOFA Imewadia.
mpaka leo unaogopa polisi ?Naona Ile Siku Muhimu Ya Askari Police Wa Tanzania Kufanya Mazoezi Ya Kulenga Shabaha Kwa " NYUMBU " Aina Ya WAPUMBAVU Na MALOFA Imewadia.
tumeamua kufanyia katika jiji tunaloongoza la Dar es salaam .kwanini hamfanyagi maandamano kule kwenu?
cdm wamekaa mkao wa kudandia hoja yoyote wakidhani itawatoa. kwanza mjitazame cdm ubaguzi wenu wa ukabila. chama kimeshikwa na ukoo na kuuzwa kwa ridhaa ya ukoo wa baba mkwe.Baraza la vijana CHADEMA (BAVICHA) Kesho watafanya Kongamano (Vuguvugu) LA kupinga ubaguzi wa Rangi unaofanywa na Ccm kule Zanzibar na Tanzania kwa ujumla.
Tunaomba ushirikiano wenu wa hali na Mali ili kufikisha ujumbe huu kila kona ya nchi hii,na kukomesha kabisa Ubaguzi huu ambao unaelekea kuliingiza Taifa letu kwenye machafuko makubwa sana.
Aidha Vuguvugu hili litahudhuriwa na vijana wote bila kujali vyama vyao kwa kuwa ubaguzi huu una madhara kwa kila mmoja wetu,
Mzungu mzaji wa Kongamano hili ni Viongozi mbalimbali pamoja na Msemaji wa Baraza hilo EDWARD SIMBEYE ,Tunaomba mfike wote bila kukosa
Wasalamu
Edward SIMBEYE
Mwenezi BAVICHA Taifa
mpaka leo unaogopa polisi ?
Bango liliandikwa KILOFA na MALOFAKama kawaida yenu? Bango limewafanya mpate kick
Utakua lini weweKama kawaida yenu? Bango limewafanya mpate kick
hivi tajiri kama mimi naweza kuogopa hii kweli ?Kama Huwaogopi Katisha Na " Nyara " Ya Serikali Oysterbay Police Station Mkuu Halafu Utanipa Mrejesho Wake.
Hahahahahahhaha aibuuuu aibuuu aise yani mnatafuta kick kwa nguvu mpka nawaonea huruma jamani.... yani kabango kamoja kanawatia hofu... na ccm imeomba radhi sasa nyie mnataka kuanzisha nn.... kwanza namashaka nyie ndo wachonga bango lile... duuuuuu kick hz jamani duuu zitawatokea puani hahahaha
Baraza la vijana CHADEMA (BAVICHA) Kesho watafanya Kongamano (Vuguvugu) LA kupinga ubaguzi wa Rangi unaofanywa na Ccm kule Zanzibar na Tanzania kwa ujumla.
Tunaomba ushirikiano wenu wa hali na Mali ili kufikisha ujumbe huu kila kona ya nchi hii,na kukomesha kabisa Ubaguzi huu ambao unaelekea kuliingiza Taifa letu kwenye machafuko makubwa sana.
Aidha Vuguvugu hili litahudhuriwa na vijana wote bila kujali vyama vyao kwa kuwa ubaguzi huu una madhara kwa kila mmoja wetu,
Mzungu mzaji wa Kongamano hili ni Viongozi mbalimbali pamoja na Msemaji wa Baraza hilo EDWARD SIMBEYE ,Tunaomba mfike wote bila kukosa
Wasalamu
Edward SIMBEYE
Mwenezi BAVICHA Taifa
Baraza la vijana CHADEMA (BAVICHA) Kesho watafanya Kongamano (Vuguvugu) LA kupinga ubaguzi wa Rangi unaofanywa na Ccm kule Zanzibar na Tanzania kwa ujumla.
Tunaomba ushirikiano wenu wa hali na Mali ili kufikisha ujumbe huu kila kona ya nchi hii,na kukomesha kabisa Ubaguzi huu ambao unaelekea kuliingiza Taifa letu kwenye machafuko makubwa sana.
Aidha Vuguvugu hili litahudhuriwa na vijana wote bila kujali vyama vyao kwa kuwa ubaguzi huu una madhara kwa kila mmoja wetu,
Mzungu mzaji wa Kongamano hili ni Viongozi mbalimbali pamoja na Msemaji wa Baraza hilo EDWARD SIMBEYE ,Tunaomba mfike wote bila kukosa
Wasalamu
Edward SIMBEYE
Mwenezi BAVICHA Taifa
itakufa ile saccos ya kichumia tumbo na wababaishaji na kuicha ukawa imaraWe simbeye Dr.kitila mkumbo alisema upinzani unaotegemea makosa ya chama tawala Ili kufanya siasa hufa kibudu....