kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,666
- 4,365
CHADEMA mkitaka kushinda uchaguzi mwaka 2025 nendeni na legacy ya JPM mtapata sapoti kubwa kutoka kwa wanachi na kutoka kwenye baadhi ya viongozi fulani ndani ya chama tawala na itakuwa vigumu kwao kupanga matokeo.
Najua how much you hate him but don't loose this opportunity na msijaribu kumtukana jpm kwenye mikutano yenu ya siasa uko mtaumia CHADEMA.
Namaliza hivo mimi ni kama mtume tu mtukane msitukane lakini ujumbe wangu tayari nimeufikisha.
Najua how much you hate him but don't loose this opportunity na msijaribu kumtukana jpm kwenye mikutano yenu ya siasa uko mtaumia CHADEMA.
Namaliza hivo mimi ni kama mtume tu mtukane msitukane lakini ujumbe wangu tayari nimeufikisha.