Lu-ma-ga
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 4,780
- 3,227
Kwani Januari makamba anagombea udiwani?
Hata mkapa na Wasira HAWAKUGOMBEA arumeru kwa Nassari lakini aliyelaumiwa si SIOI bali ni Mkapa kwa kushindwa ku-deliver kuwafanya wapiga kura wapigie ccm, same for makamba iwapo ccm itakataliwa kwa kumpa kura mgombea wa cdm ilihali ni jimbo chini ya ccm, failures indicators ni matokeo ya mbunge dhaifu.Nadhani umeelewa sasa