Rufaa ya mbunge wa Sumbawanga Mjini Mh.Hiraly kupitia chama cha CCM imetupiliwa mbali na mahakama kuu hivyo ni nafasi nzuri kwa chama cha M4C kujipanga kuchukua jimbo hilo.
:canada:
....kimesajiliwa kweli hiki!!kwa chama cha M4C kujipanga
:canada: