Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Watafungiwa misaada na mabeberu 100%Mm naona tu, turudi kwenye chama kimoja
Huyo Lema amefanya nini?
Mm naona tu, turudi kwenye chama kimoja
Nchi ya hovyo sana hii! Hapo ni mbunge polisi wanamzuia wanavyotaka! Hivi rais hajiulizi hali ikoje kwa mwananchi wa kawaida?
Mbatia ana maoni gani katika hili?Au huu ndio utu anaouzungumzia?
Mkuu umesema kweli tupu..MAGUFURI ANA ROHO MBAYA SANA. NI MTU MBAYA SANA. ANA CHUKI NA VISASI PIA ANAJIONA NI MUNGU MTU!
Tatizo la CCM ni Chadema wala sio Nccr ,Cuf au Tlp,viongozi wa Chadema ndio wanaokatazwa Mikutano,ndio wako mahabusu,ndio wanakesi Mahakamani hakika inasikitisha sana.
Tatizo la CCM ni Chadema wala sio Nccr ,Cuf au Tlp,viongozi wa Chadema ndio wanaokatazwa Mikutano,ndio wako mahabusu,ndio wanakesi Mahakamani hakika inasikitisha sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ipo siku uhutu utamuisha.MAGUFURI ANA ROHO MBAYA SANA. NI MTU MBAYA SANA. ANA CHUKI NA VISASI PIA ANAJIONA NI MUNGU MTU!
Itunzwe hii na zingine nyingi kwa matumizi ya baadaye ICC.