Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 28,354
- 81,756
Hizi ni za mitahani tu mbona, mi naongelea general issue ya uchaguzi mkuu na sio vijikao vya chini
Walikulazimisha au walikuja kukugongea hapo ulipo panga ili uwachangie? Mbona UVCCM mna mambo ya umbea umbea sana!!! Naomba majibu tafadhali.