mkulima gwakikolo
JF-Expert Member
- Nov 22, 2014
- 1,767
- 2,851
Yaani Mccm ageuke kuwa mshauri wa Chama pinzani CDM? Paskali nilitegemea ukiandika hoja zenye mantiki kukemea u dhalimu unaopindisha katiba na sheria za nchi hii.
Lakini umekua kimya ukiandika porojo and most of the very writing here is to point out on CDM..wengi humu hatuna vyama ila tungependa future nzuri ya Taifa Letu. Kuangalia leo Bila kufocus future ya vizazi vijavyo ni uhayawani wa waziwazi kabsa.
Lakini umekua kimya ukiandika porojo and most of the very writing here is to point out on CDM..wengi humu hatuna vyama ila tungependa future nzuri ya Taifa Letu. Kuangalia leo Bila kufocus future ya vizazi vijavyo ni uhayawani wa waziwazi kabsa.