Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,708
- 5,711
Hata TANU ilipokuwa inapambana ili kupigania uhuru wa Tanganyika ilihakiiisha kuwa na ofisi na matawi kila ofisi kila mkoa na kila wilaya.
ACT Wazalendo wameonyesha kuwa wakipewa dhamana ya kuwa chama dola wanaweza kutumia vyema rasilimali za umma
Ninyi mmekuwa kwenye siasa za Tanzania kwa zaidi ya miaka 28 lakini pamoja na kupata ruzuku,.michango na hata bakshishi hamjajenga hata ofisi ya makao makuu.
Kama hamna uaminifu kwa kidogo je kikubwa mtaweza kukituza?
ACT Wazalendo wameonyesha kuwa wakipewa dhamana ya kuwa chama dola wanaweza kutumia vyema rasilimali za umma
Ninyi mmekuwa kwenye siasa za Tanzania kwa zaidi ya miaka 28 lakini pamoja na kupata ruzuku,.michango na hata bakshishi hamjajenga hata ofisi ya makao makuu.
Kama hamna uaminifu kwa kidogo je kikubwa mtaweza kukituza?