[/................... Wazalendo walio ndani ya Chadema wakiwemo wanaomuunga mkono Zitto tayari wameanza kulipinga suala hili na muda si mrefu mtasikia mvurugano ukitokea........ ..........................
wewe sasa ulikofika hata ule mchepuko wa mama yako pale kilabuni utasema chadema wamemtongozea.
JF ni chanzo cha habari. Umepewa hiyo habari ni jukumu lako na vyombo vingine kuchunguza ili kujua ukweli wake
Kuna watu wanatumia vichwa vyao kufugia nywele
Chadema bana! Kwa vile viongozi wenu yaani Mbowe na Slaa wanaendekeza michepuko ndo kila mfuasi wa chadema ana mawazo ya kimichepuko michepuko tu