N J subi
JF-Expert Member
- Nov 24, 2017
- 392
- 341
*WAMBOWE 9:5*
"Naye akawajibu "Msinililie Mimi,jililieni na ushamba wenu,kwa maana hakuna aliyewalazimisha kujiunga na *CHAMA AMBACHO NI MALI YANGU NILICHOPEWA NA BABA MKWE* Basi wakainamisha nyuso zao kwa huzuni,wala wasiweze kumjibu.
Naye akiisha kusema hayo akapita katikati yao akaenda zake benki na kuchukua *RUZUKU YOTE NA KUITUMIA ATAKAVYO*
"Naye akawajibu "Msinililie Mimi,jililieni na ushamba wenu,kwa maana hakuna aliyewalazimisha kujiunga na *CHAMA AMBACHO NI MALI YANGU NILICHOPEWA NA BABA MKWE* Basi wakainamisha nyuso zao kwa huzuni,wala wasiweze kumjibu.
Naye akiisha kusema hayo akapita katikati yao akaenda zake benki na kuchukua *RUZUKU YOTE NA KUITUMIA ATAKAVYO*