Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
cHAMA CHETU CHA DEMOCRASIA NA MAENDELEO BADO HAKIJAWA TAYARI KWA USHINDI IGUNGA KUTOKANA NA UWEZO MDOGO WA MGOMBEA WETU WA KIELIMU NA KUJENGA HOJA UKILINGANISHA NA YULE WA MAGAMBA...........!
<br />Umetumwa tu si haba! hivi katika siasa za bunge la jamhuri mbunge wa ccm msomi akafanye nini? Labda akauungane na wenzake kulala bungeni. Mbunge tunaye mtaka ni muadilifu ambaye atakataa hoja zikifisadi bungeni na kulinda mali yetu isitwaliwe kwa kisingizio cha uwekezaji hiyo kazi ataimudu ipasavyo kashindye. huyu mwenye phd aende kufundisha au afanye kazi za ushauri kwa serikali ya magamba
Talking this shiiiiiiiiiiiiiiiiit, you must be a "GREEN GUARD MEMBER" or any other Empty-headed creature, royal to "MAGAMBA".................... GO TO HELL..............!!!!cHAMA CHETU CHA DEMOCRASIA NA MAENDELEO BADO HAKIJAWA TAYARI KWA USHINDI IGUNGA KUTOKANA NA UWEZO MDOGO WA MGOMBEA WETU WA KIELIMU NA KUJENGA HOJA UKILINGANISHA NA YULE WA MAGAMBA...........!
chama chetu cha democrasia na maendeleo bado hakijawa tayari kwa ushindi igunga kutokana na uwezo mdogo wa mgombea wetu wa kielimu na kujenga hoja ukilinganisha na yule wa magamba...........!
cHAMA CHETU CHA DEMOCRASIA NA MAENDELEO BADO HAKIJAWA TAYARI KWA USHINDI IGUNGA KUTOKANA NA UWEZO MDOGO WA MGOMBEA WETU WA KIELIMU NA KUJENGA HOJA UKILINGANISHA NA YULE WA MAGAMBA...........!
elimu na uwezo wa kujenga hoja wa huyo wa maghamba umetusaidiaje kutuwezesha watanzania tusiingie mikataba
ambayo haina manufaa kwa taifa au hata kutustua when it comes to dubious deals done by corrupt govt officials.
<br />cHAMA CHETU CHA DEMOCRASIA NA MAENDELEO BADO HAKIJAWA TAYARI KWA USHINDI IGUNGA KUTOKANA NA UWEZO MDOGO WA MGOMBEA WETU WA KIELIMU NA KUJENGA HOJA UKILINGANISHA NA YULE WA MAGAMBA...........!
Chama chenu na Nape, kamsaidie uchaguzi wa diwani sijui wapi kule, amefukuzwa Igunga kwa kuwa hana busara kama wewecHAMA CHETU CHA DEMOCRASIA NA MAENDELEO BADO HAKIJAWA TAYARI KWA USHINDI IGUNGA KUTOKANA NA UWEZO MDOGO WA MGOMBEA WETU WA KIELIMU NA KUJENGA HOJA UKILINGANISHA NA YULE WA MAGAMBA...........!