King junior
Member
- Apr 8, 2011
- 63
- 12
Chanzo cha kuaminika, "kutoka kwa 'jembe' LEMA GODBLESS" akihutubia katika ufunguzi wa tawi la Udom, amesema kuwa "wapo katika mchakato wa kuandaa maandamano tarehe 16 mwezi huu kuupinga vikali muswada wa katiba mpya" mbali na hilo, alitangaza rasmi kongamano la vyuo vikuu litakalofanyika Area D, mjini DODOMA siku ya kesho tarehe 10/04 kuanzia saa nne asubuhi, kongamano hilo linatarajia kuhusika na kujadili mambo mbalimbali yanayoikumba nchi hii, likiwemo la katiba mpya, Dr. W. Slaa ni miongoni mwa watakaokuwepo katika kongamano hilo........!