Nimekupata mkuu ila cijawadharau hawa Machinga,Mamamlishe na waendesha pikipiki. Natambua hawa ndo BOT au Hazina ya CDM katika peoplez power,Wasomi wengi wa Tanzania ni hazina vilevile kwa CDM ila hawapendi kujitokeza hadharani kwa kuogopa kupoteza ajira zao.Kumbuka "Nothing goes for Nothing" Machinga,bodaboda na mamalishe wanataka matatizo yao yatatuliwe na kura zao.So we should findHARAFU KINGINE USIWAZARAU HAWA WATU KUWA HAWANA UELEWA JAMAA WANAJUA WANACHOFANYA HIVYO KINACHOTAKIWA NI KUWAELIMISHA TU JINSI YA KUFANYA BIASHARA BORA MAANA WAENDE WAPI KAMA WANAFUKUZWA TU LAKINI HAKUNA ALTERNATIVE?
here are few lines:
1. Ngeleja acha geresha, kazi imekushinda, jiuzulu.
2. Waziri mwinyi, damu yetu itakuhukumu.
3. Hatutaki aldawi hata wa kuchonga, hakuna kuilipa dowans.
4. Mubarak kaondoka jana, mafisadi mtaondoka kesho!
And more to come
''nyerere alimkataa,sisi hatukujua"
Kabla hamjahamasisha na kuchangia maandamano ya Mwanza.Je mmeuliza kama utaratibu umefuatwa wa maandamano?.Kama kuna mtu ana taarifa za utaratibu uliotumika kuomba kibali atume hapa tushirikishane.
Nawasilisha.
greatthinkers;
kwanza ifahamike kwamba dr. Slaa huwa hafanyi mambo kwa kubabaisha,ukweli ni kuwa kibali kipo tayari.
Najua watu wengi wanatamani waruke waje mwanza ila unaweza kushiriki japo kwa kutoa maoni juu nini kiandikwe ktk mabango kesho.
Sentensi iwe fupi ujumbe uwe wa kiingereza au kiswahili. Unaobeba hisia na machungu ya watanzania.
Kwa wale wanaotoka hapa mwanza hitimisho la maandamano itakuwa uwanja wa furahisha.
Nchi tajiri, wananeemeka watoto wa akina fulani, wengine tubaki kuwa vijakazi wao.
:rain:no way!:a s 13:
Nilikuwa sijaiona kwa kutafakari AVATAR yako, eeeh ni kweli kabisa!Wahindi rudini kwenu Tumewachoka!
1. Nchi haina raishatutaki vyandarua,tunataka madini yetu