Eng. Y. Bihagaze
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 1,488
- 908
da nimeanza kuaminiani yule mtoto wa sheikh yahaya aliyesema uchaguzi jpili hakuna. Ila ni sawa watz tumechoka sasa.
Huyo hayahaya cha mtoto..Mie ni mchunguzi wa upepo wa kisiasa unavyokwenda.. Siasa ikishavamiwa na DINI.. hapo hakuna Uchaguzi.. Kuna watu wameshashurutishwa na Mabaraza ya MATAMKO.. Unadhani hapo uchaguzi upo Tena..tayari nimeshashurutishwa na WAKUU WANGU WA DINI, nikipigie kura chama nisichokitaka.. HAKUNA UCHAGUZI HAPO.. KUNA UCHAFUZI...