Elections 2010 CHADEMA kuandaa maandamano makubwa Igunga Ijumaa kupinga kulipwa DOWANS

da nimeanza kuaminiani yule mtoto wa sheikh yahaya aliyesema uchaguzi jpili hakuna. Ila ni sawa watz tumechoka sasa.

Huyo hayahaya cha mtoto..Mie ni mchunguzi wa upepo wa kisiasa unavyokwenda.. Siasa ikishavamiwa na DINI.. hapo hakuna Uchaguzi.. Kuna watu wameshashurutishwa na Mabaraza ya MATAMKO.. Unadhani hapo uchaguzi upo Tena..tayari nimeshashurutishwa na WAKUU WANGU WA DINI, nikipigie kura chama nisichokitaka.. HAKUNA UCHAGUZI HAPO.. KUNA UCHAFUZI...
 
nimepata habari sasa hivi kutoka igunga kuwa cdm inaandaa maandamano makubwa igunga baada ya hukumu ya mahakama kuu ya kuitaka tanesco iilipe kampuni fake dowans, iliyozaliwa kutoka kampuni nyingine fake ya richmond.
Cdm wanaangalia uwezekano wa wafuasi wake wa mikoa na wilaya jirani kuhamasisha katika maandamano hayo ambayo yataenda sambamba na kampeni za kulichukuwa hilo jimbo lililotelekezwa na fisadi aliyesababisha tozo hiyo.

tumeshawazoe na maandsamano yao..watulize ball kama mwenzao zizuka anakula kuku kw amrwiiiijaaaa meeeen
 
Hii kwa CHADEMA ni kama bao la "mkono wa mungu"
kwa upendo na kwa uzarendo uliotukuka nayahitaji maandamano haya!....
Tunaomba uthibitisho toka CHADEMA....
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom