At Calvary
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 4,514
- 3,554
Hio Ruzuku ni kulingana na matakwa ya sheria. Kutoa kodi ni wajibu.Michango ni ya hiari na si sawa na kuchukua kodi za wananchi zinazotakiwa kujenga mabarabara, mahospitali, n.k ili masikini hao wapate huduma za msingi kutokana na kodi wanazolipa.
Isitoshe, huu ni mwanzo tu wa kujitegeme kwa kuwa na vitega uchumi vya chama.
Sio kwa sababu maskini anatoa kodi. Ndio kiwe kigezo cha kutotimiza mambo fulani.