Mbona watu wanawakimbia baada ya hao wasaniiVyote vinafanywa huoni kwenye mikutano burudani kibao na sera zinamwagwa.Tunaanza na burudani Halafu tunamwaga sera Halafu tukimaliza sera tunamwaga burudani watu waburudike na sera.
Burudani na sera bega kwa bega
BURUDIKA KIDOGO UMEZE MATE
Wasubiri huu upepo wa uchaguzi upite waanze kuonja joto ya jiwe. Maana wasanii wamejisahau kwamba wapenzi na mashabiki wao ni watu wote na sio kuwadharau wapinzani.Kushinda uchaguzi ni moja na kuwavuta kwako watu wengi wezekanavyo ili wawe upande wako wao na familia zao wakupe kura.
CHADEMA tumeiona ikiponda kuanzia Askari, wafanyakazi wa tume, viongozi wa dini, wenye magari wanaobeba wana CCM kwenda mikutanoni nk hao wote ni wapiga kura ambao CHADEMA inawaponda.
Lakini siku za karibuni wamekuja na gia ingine ya kuwaponda wasanii maarufu ambao wana ushawishi mkubwa mno kwa wapenzi wa kazi zao ambao wanazunguka na kufanya kampeni mikutano ya CCM.
CHADEMA wamekuwa wakiwaponda wakati hao ni wapiga kura. Badala ya ku win their hearts wawapigie kura wao wanaponda.
CHADEMA ukweli hawakujiandaa kugombea uraisi ikitakiwa mapema kabisa waanze ku-win hearts za makundi mbalimbali kwenye jamii yenye mvuto kwa jamii na yenye makundi makubwa na ushawishi yakiwemo wasanii, viongozi wa dini kubwa kubwa no lakini wapi.
Political strategy yao ya ku-win viongozi wa makundi ilistawi wakati wa Slaa na Lowassa tu hawa waliobaki hamna kitu yaani wanategemea tu kuokota kura za wapita njia mabarabarani.
Swala la ku win hearts of groups kwao halipo halafu wanategemea kushinda uraisi na ubunge na udiwani!
Kuponda wasanii ni kupoteza kura zao ndio maana CCM hata kwenye Ilani ya CCM tuna ilani ya kuwawezesha wasanii na kukuza usanii ipo kwenye ilani kabisa tofauti na vyama vingine ikiwemo CHADEMA ndio maana wasanii wanaipenda CCM inawajali kuwaheshimu na kwenye ilani na sera wasanii wamepewa nafasi.
Huwa suipost kutafuta like au support napost kile roho inapendaUkitaka kujua kuwa CCM hampendwi angalia hii thread yako tangu uanzishe hakuna comment ya kukusapoti zote zimekupinga na Buku 7 wenzako wameshachoka !umebaki wewe tu
Jingalao yuko wapi?
Bia yetu yuko wapi?
Wakudadavua je?
Philipo Bukililo wapi?
Paschal Mayala
Kawe yetu?
Tundu Lissu anahubiri haki, uhuru na maendeleo kwa wote bila kubagua kundi lolote la kijamii wakiwamo hao wasanii ambao sasa hivi ni mateka wa kisiasa (political captives) chini ya CCM MATAGA.Kushinda uchaguzi ni moja na kuwavuta kwako watu wengi wezekanavyo ili wawe upande wako wao na familia zao wakupe kura.
CHADEMA tumeiona ikiponda kuanzia Askari, wafanyakazi wa tume, viongozi wa dini, wenye magari wanaobeba wana CCM kwenda mikutanoni nk hao wote ni wapiga kura ambao CHADEMA inawaponda.
Lakini siku za karibuni wamekuja na gia ingine ya kuwaponda wasanii maarufu ambao wana ushawishi mkubwa mno kwa wapenzi wa kazi zao ambao wanazunguka na kufanya kampeni mikutano ya CCM.
CHADEMA wamekuwa wakiwaponda wakati hao ni wapiga kura. Badala ya ku win their hearts wawapigie kura wao wanaponda.
CHADEMA ukweli hawakujiandaa kugombea uraisi ikitakiwa mapema kabisa waanze ku-win hearts za makundi mbalimbali kwenye jamii yenye mvuto kwa jamii na yenye makundi makubwa na ushawishi yakiwemo wasanii, viongozi wa dini kubwa kubwa no lakini wapi.
Political strategy yao ya ku-win viongozi wa makundi ilistawi wakati wa Slaa na Lowassa tu hawa waliobaki hamna kitu yaani wanategemea tu kuokota kura za wapita njia mabarabarani.
Swala la ku win hearts of groups kwao halipo halafu wanategemea kushinda uraisi na ubunge na udiwani!
Kuponda wasanii ni kupoteza kura zao ndio maana CCM hata kwenye Ilani ya CCM tuna ilani ya kuwawezesha wasanii na kukuza usanii ipo kwenye ilani kabisa tofauti na vyama vingine ikiwemo CHADEMA ndio maana wasanii wanaipenda CCM inawajali kuwaheshimu na kwenye ilani na sera wasanii wamepewa nafasi.
Siku ukipata akili utahamie CHADEMA ,kwa sasa wewe ni Malaya wa kisiasa!Huwa suipost kutafuta like au support napost kile roho inapenda
Kwanza wewe nimuongo uhuru haki namaendeleo yawatu haibagui shughuli zawatu nawasanii wakiwemo wasanii Kwani kati ya wasanii na wanawake weusi wawapi wengi?Kushinda uchaguzi ni moja na kuwavuta kwako watu wengi wezekanavyo ili wawe upande wako wao na familia zao wakupe kura.
CHADEMA tumeiona ikiponda kuanzia Askari, wafanyakazi wa tume, viongozi wa dini, wenye magari wanaobeba wana CCM kwenda mikutanoni nk hao wote ni wapiga kura ambao CHADEMA inawaponda.
Lakini siku za karibuni wamekuja na gia ingine ya kuwaponda wasanii maarufu ambao wana ushawishi mkubwa mno kwa wapenzi wa kazi zao ambao wanazunguka na kufanya kampeni mikutano ya CCM.
CHADEMA wamekuwa wakiwaponda wakati hao ni wapiga kura. Badala ya ku win their hearts wawapigie kura wao wanaponda.
CHADEMA ukweli hawakujiandaa kugombea uraisi ikitakiwa mapema kabisa waanze ku-win hearts za makundi mbalimbali kwenye jamii yenye mvuto kwa jamii na yenye makundi makubwa na ushawishi yakiwemo wasanii, viongozi wa dini kubwa kubwa no lakini wapi.
Political strategy yao ya ku-win viongozi wa makundi ilistawi wakati wa Slaa na Lowassa tu hawa waliobaki hamna kitu yaani wanategemea tu kuokota kura za wapita njia mabarabarani.
Swala la ku win hearts of groups kwao halipo halafu wanategemea kushinda uraisi na ubunge na udiwani!
Kuponda wasanii ni kupoteza kura zao ndio maana CCM hata kwenye Ilani ya CCM tuna ilani ya kuwawezesha wasanii na kukuza usanii ipo kwenye ilani kabisa tofauti na vyama vingine ikiwemo CHADEMA ndio maana wasanii wanaipenda CCM inawajali kuwaheshimu na kwenye ilani na sera wasanii wamepewa nafasi.