kilambalambila
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 9,290
- 8,611
mikutanoni huwa ni watoto tu wamekuja kuangalia chopa ila kwa ufinyu wa kung'amua mambo cdm huwa wanawahesabu watoto wale kama wapiga kura pia!
Huna tofauti na sokwe unashindwa kuainisha matatizo ya tz eti unahangaika na cdm, utoroshwaji wa twiga wetu kwenda nje,madini kuporwa,tembo wanaisha,mabilioni yanafichwa nje nk hayo huyaoni eti? bk7 shame on u na waliokutuma
Wambie hao chama cha mafisi waruhusu uandikishaji wapiga kura wapya afu kutokee uchaguzi kidogo ndo mtajuta kuzaliwa nyie nyinyiem
Watu wanaojazana kwenye mikutano siyo kwamba wanafurahishwa na sera wengi wanakwenda kuangalia Chopa.mimi huwa nachukia sana watu wanafiki,hao ndo wapo kwa washabiki wengi wa chadema,inaniuma sana yaani watu unawaona wakijazana kwenye mikutano ya chadema na kufurahia sera lakini kwenye kupiga kura hawaonekani.kwa
utafiti wangu mdogo nliyoufanya nmegundua watu wengi wasiopga kura ni watu wanaoichukia CCM hvyo kupelekea kuikosesha chadema kura.kama hauwamini fanya simple survey utagundua watu wasioipenda CCM ndio hawapigi kura matokeo yake wanaishia kupiga kelele tu mtaani yaan wamejaa unafiki tu!!
OK, pitia Lumumba hapo maana siku hizi dau limepanda hadi buku saba jero
Watu wanaojazana kwenye mikutano siyo kwamba wanafurahishwa na sera wengi wanakwenda kuangalia Chopa.
Kwa mujibu wako, Wapiga kura wote wapya ni wana-CHADEMA...
WanaJF,
Kwa masikitiko makubwa sana nieleze tu kuwa, CHADEMA kimezidi kupoteza wanachama wake wengi hivi karibuni hali inayopelekea ku kufanya chama hicho kupoteza sifa ya kuwa chama kikuu cha upinzani nchini.
Kwa mujibu wa viwango vya kimataifa kwenye masuala ya kisiasa, chama kikuu cha upinzani ni kile ambacho kina wanachama walau nusu ya idadi ya wanachama wa chama tawala!.
Takwimu ya idadi ya wanachama kwa mujibu wa ripoti:
...CCM hadi kufikia March 20 ilikuwa na wanachama 7,892,453.
...CHADEMA hadi kufikia March 20 ilikuwa na wanachama 456,227.
...ACT hadi kufikia March 20 ilikuwa na wanachama 124,567. Baada Zitto kuingia ACT, wanachama waliongezeka hadi kufikia 259,548 sawa na ongezeko la asilimia 100.
...Idadi ya wanachama wote wa CUF, TLP, NCCR na UDP ni sawa na idadi ya wanachama wa CHADEMA.
...Kwa mujibu wa viwango vya kimataifa, CHADEMA kwa sasa ni chama kilichounda kambi ya upinzani bungeni. Lakini hakina sifa ya kuitwa chama kikuu cha upinzani nchini.
WanaJF,
Kwa masikitiko makubwa sana nieleze tu kuwa, CHADEMA kimezidi kupoteza wanachama wake wengi hivi karibuni hali inayopelekea ku kufanya chama hicho kupoteza sifa ya kuwa chama kikuu cha upinzani nchini.
Kwa mujibu wa viwango vya kimataifa kwenye masuala ya kisiasa, chama kikuu cha upinzani ni kile ambacho kina wanachama walau nusu ya idadi ya wanachama wa chama tawala!.
Takwimu ya idadi ya wanachama kwa mujibu wa ripoti:
...CCM hadi kufikia March 20 ilikuwa na wanachama 7,892,453.
...CHADEMA hadi kufikia March 20 ilikuwa na wanachama 456,227.
...ACT hadi kufikia March 20 ilikuwa na wanachama 124,567. Baada Zitto kuingia ACT, wanachama waliongezeka hadi kufikia 259,548 sawa na ongezeko la asilimia 100.
...Idadi ya wanachama wote wa CUF, TLP, NCCR na UDP ni sawa na idadi ya wanachama wa CHADEMA.
...Kwa mujibu wa viwango vya kimataifa, CHADEMA kwa sasa ni chama kilichounda kambi ya upinzani bungeni. Lakini hakina sifa ya kuitwa chama kikuu cha upinzani nchini.
Dada Hamida leo umekula maharage ya wapi sijui, unaropoka usubuhi yote hii,