Cathelin
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 2,071
- 3,992
Chama hiki hakina Ruzuku ata sent Mia, japo waziri mwigulu aliwaomba Sana waje wachukue Ruzuku, lakini kupitia Mbowe waligomea iyo Ruzuku.
Ni mwaka Sasa umepita Chadema haina Ruzuku ata ya shilling mia, Ila naona shughuri za Chama zinaenda vizuri tu,, ofisi za Chama zinajengwa nchi nzima, na shughuri zote hapo makoa makuu zinaendelea.
Je ni ni kweli kupiti Kadi chama kinakusanya hela za kutosha kuweza kujiendesha. Kupitia hili nimeamini kuwa Ruzuku sio lazima, izo pesa za Ruzuku wanazochukua CCM na ACT, zinaweza pelekwa kwenye huduma za kijamii.
Swali, Chadema tupe Siri ya kuishi bila kutegemea Ruzuku, mmewezaje?
Ni mwaka Sasa umepita Chadema haina Ruzuku ata ya shilling mia, Ila naona shughuri za Chama zinaenda vizuri tu,, ofisi za Chama zinajengwa nchi nzima, na shughuri zote hapo makoa makuu zinaendelea.
Je ni ni kweli kupiti Kadi chama kinakusanya hela za kutosha kuweza kujiendesha. Kupitia hili nimeamini kuwa Ruzuku sio lazima, izo pesa za Ruzuku wanazochukua CCM na ACT, zinaweza pelekwa kwenye huduma za kijamii.
Swali, Chadema tupe Siri ya kuishi bila kutegemea Ruzuku, mmewezaje?