Uchaguzi 2020 CHADEMA Kilimanjaro walalamika kupewa fomu bandia na Tume ya Uchaguzi kwa Wagombea Ubunge

Tabia ya Rais kuwaona wanaofanya uovu dhidi ya wapinzani ndio wanaofaa kiasi cha yeye kuwapandisha vyeo, imewaharibu sana viongozi na watendaji. Matokeo yake watendaji wanashindana kuwafanyia uovu wapinzani ili Rais awaone na awazawadie vyeo.

Rais wetu ndiye anayestahili kubeba lawama ya maovu yote ya watendaji dhidi ya wapinzani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wagombea ubunge wa CHADEMA, Lucy Owenya na Grace Kihwelu wamedai kupewa fomu fake na Tume ya uchaguzi.

Tatizo hilo limegundulika leo walipoenda NEC kuzihakiki.

Chanzo: ITV habari

My take; Nilisema Membe ameenda kuhakiki fomu ni jambo jema

Maendeleo hayana vyama!
Haaahaa hadi nimecheka jaman uwiii yaan awam hii tutaona vituko khaaa
 
Mm mpk sasa bado nashangaa upinzani halisi wamewaza nini kuingia kwenye uchaguzi while hakuna mabadiliko yoyote ya kimfumo kuhusu uchaguzi yaliyofanyika wakt tayari wana experience ya kutosha ya yaliyotokea kwenye chaguzi bandia za marudio
Ulitaka wasishiriki uchaguzi, wasubiri ipatikane tume huru wakati huo wananchi ambao ndio wahusika wakuu mmelala usingiz wa pono.
 
Tabia ya Rais kuwaona wanaofanya uovu dhidi ya wapinzani ndio wanaofaa kiasi cha yeye kuwapandisha vyeo, imewaharibu sana viongozi na watendaji. Matokeo yake watendaji wanashindana kuwafanyia uovu wapinzani ili Rais awaone na awazawadie vyeo.

Rais wetu ndiye anayestahili kubeba lawama ya maovu yote ya watendaji dhidi ya wapinzani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unao huakika na huo utopolo unauzu ngumzia?
 
Walizichukua fomu kabisaaa kwa DED wakazijaza wakati wanazirudisha wagagudua kuwa Ni fomu feki Wakiwa tayali wameshazijaza!!!!
 
Hapana, Nadhan jamii haipaswi kuchukulia huu uhuni wa CCM na tume yake, kama udhaifu wa Wapinzani.

Huyu aloamua kutoa Fomu feki, maana yake amegushi nyaraka?..
Umeenda bank au dukani ukapewa noti au sarafu bandia ukaenda nayo kwako na kukaa nayo zaidi ya siku tatu kisha baadae unarudi nayo dukani unasema ulipewa pesa bandia, Hivi hapo unaweza kushinda kesi?
Nani hapo mzembe?

Kama wameiga mambo ya Nassari waseme tu ukweli.
 
Tabia ya Rais kuwaona wanaofanya uovu dhidi ya wapinzani ndio wanaofaa kiasi cha yeye kuwapandisha vyeo, imewaharibu sana viongozi na watendaji. Matokeo yake watendaji wanashindana kuwafanyia uovu wapinzani ili Rais awaone na awazawadie vyeo.

Rais wetu ndiye anayestahili kubeba lawama ya maovu yote ya watendaji dhidi ya wapinzani.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kabisa, na tabia hii ilikuwa inafanyika sana Magufuli alipokuwa mbunge, na sasa hivi kawa rais ndio hiyo tabia yake imekuwa wazi zaidi kwenye chaguzi za nchi hii. Hiki ni kiburi cha madaraka.
 
Umeenda bank au dukani ukapewa noti au sarafu bandia ukaenda nayo kwako na kukaa nayo zaidi ya siku tatu kisha baadae unarudi nayo dukani unasema ulipewa pesa bandia, Hivi hapo unaweza kushinda kesi?
Nani hapo mzembe?

Kama wameiga mambo ya Nassari waseme tu ukweli.

Sioni kama mfano wako una maana yoyote zaidi ya kutetea uovu. Uende bank kisha upewe hela fake ukae nayo kisha ugundue Ni fake huwezi kushinda kesi!

Hilo ni kweli huwezi kushinda kesi, je ni sahihi bank kutoa pesa fake kisa huwezi kushinda kesi? Kwahiyo hiyo bank itaendelea kuwa bank au ofisi ya wanyang'anyanyi?

Hivi sasa hivi ni sifa uhuni kufanyika kwenye ofisi za umma? Mnadhani mambo hayo yataishia hapo hapo? Hao wanaofanya huo uhuni na kusifiwa kama ufanyavyo hawataishia hapo boss.
 
Sioni kama mfano wako una maana yoyote zaidi ya kutetea uovu. Uende bank kisha upewe hela fake ukae nayo kisha ugundue Ni fake huwezi kushinda kesi! Hilo ni kweli huwezi kushinda kesi, je ni sahihi bank kutoa pesa fake kisa huwezi kushinda kesi? Kwahiyo hiyo bank itaendelea kuwa bank au ofisi ya wanyang'anyanyi? Hivi sasa hivi ni sifa uhuni kufanyika kwenye ofisi za umma? Mnadhani mambo hayo yataishia hapo hapo? Hao wanaofanya huo uhuni na kusifiwa kama ufanyavyo hawataishia hapo boss.
Hoja hapo hautashinda kesi sababu itakuwa ngumu kuthibitisha pesa uliyopewa ilikuwa bandia. Kwa hivyo hawa wagombea inawezekana hawasemi ukweli labda wamefanyiwa uhuni huko walikotunza fomu au wamezibadili wenyewe kwa sababu zao, kama wamepewa fedha wapoteze ubunge na washindani wao sisi tutajuaje?
 
Hoja hapo hautashinda kesi sababu itakuwa ngumu kuthibitisha pesa uliyopewa ilikuwa bandia. Kwa hivyo hawa wagombea inawezekana hawasemi ukweli labda wamefanyiwa uhuni huko walikotunza fomu au wamezibadili wenyewe kwa sababu zao, kama wamepewa fedha wapoteze ubunge na washindani wao sisi tutajuaje?

Mmmhh, maelezo yako yanachekesha hivi. Anyway ndio uhuru wa maoni.
 
Umeenda bank au dukani ukapewa noti au sarafu bandia ukaenda nayo kwako na kukaa nayo zaidi ya siku tatu kisha baadae unarudi nayo dukani unasema ulipewa pesa bandia, Hivi hapo unaweza kushinda kesi?
Nani hapo mzembe?

Kama wameiga mambo ya Nassari waseme tu ukweli.
lini bank imetoa noti fake?
 
Back
Top Bottom