Titicomb
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 11,279
- 17,698
Metaphor, figure of speech...lini bank imetoa noti fake?
Metaphor, figure of speech...lini bank imetoa noti fake?
Unajuwa kwamba Lucy Owenya ni mtoto wa marehemu Ndesa Pesa?Hoja hapo hautashinda kesi sababu itakuwa ngumu kuthibitisha pesa uliyopewa ilikuwa bandia. Kwa hivyo hawa wagombea inawezekana hawasemi ukweli labda wamefanyiwa uhuni huko walikotunza fomu au wamezibadili wenyewe kwa sababu zao, kama wamepewa fedha wapoteze ubunge na washindani wao sisi tutajuaje?
Umeona sasa akiii zenu za Limumba???Umeenda bank au dukani ukapewa noti au sarafu bandia ukaenda nayo kwako na kukaa nayo zaidi ya siku tatu kisha baadae unarudi nayo dukani unasema ulipewa pesa bandia, Hivi hapo unaweza kushinda kesi?
Nani hapo mzembe?
Kama wameiga mambo ya Nassari waseme tu ukweli.
Mkuu mtoto wa Nyerere alikuwa mgombea wa ubunge kupitia NCCR-Mageuzi. Lucy anaeza kucheza faulo sababu ya mapenzi binafsi ya chama flani au kwa taamaa ya kuteuliwa nafasi kubwa na chama kingine.Unajuwa kwamba Lucy Owenya ni mtoto wa marehemu Ndesa Pesa?
Mkuu ni kutofautiana mawazo tu, wewe nawe lete mawazo yako ndiyo uhuru wa kutoa maoni huo.Umeona sasa akiii zenu za Limumba???
Huu mfano wako unamaana gan sasa???
Hata km ni kutofautiana mkuu, jaribu kutoa mfano ambao hata mtu akiupitia anaona kuna mantiki.Mkuu ni kutofautiana mawazo tu, wewe nawe lete mawazo yako ndiyo uhuru wa kutoa maoni huo.
Hao akina Lucy Ndesamburo na Grace Kihwelu Ndesamburo ndio wanaimiliki Chadema pamoja na Freeman Mbowe na Halima Mdee!Mkuu mtoto wa Nyerere alikuwa mgombea wa ubunge kupitia NCCR-Mageuzi.
Lucy anaeza kucheza faulo sababu ya mapenzi binafsi ya chama flani au kwa taamaa ya kuteuliwa nafasi kubwa na chama kingine.
Anyway, haya mawazo yangu ambayo siyo sheria auuhalisia, siri wanaijua Lucy na mkurugenzi.
Kibanga ampiga mkoloniKama ni kweli basi nchi yetu imeharibika!
Hakika kama kizazi hiki ndicho kingekuwapo wakati wa ukoloni tungekuwa bado tunatawaliwa na wakoloni hadi kesho.Kabla hujawaza utakuwa umevunjwa mbavu sita, jaribu uone
Na ccm inamilikiwa na Magufuli.Hao akina Lucy Ndesamburo na Grace Kihwelu Ndesamburo ndio wanaimiliki Chadema pamoja na Freeman Mbowe na Halima Mdee!
Wameelekezwa waende polisi kuzithibitisha.Hapana, Nadhan jamii haipaswi kuchukulia huu uhuni wa CCM na tume yake, kama udhaifu wa Wapinzani.
Huyu aloamua kutoa Fomu feki, maana yake amegushi nyaraka?
Sasa ktk hawa wawili nani Tumnyooshe vidole?
Aiseeee Pigeni kelele kukemea uhuni wa CCM na ikiwezekana watu waingie Mabarabarani, lakini sio kuwalaumi wapinzani.
Poor reasoning. Tutajuaje kama ulipokwenda huko ulizibadilisha ili kutafuta attention? Kwanini wasizikague wakati wanakabidhiwa? Wakazikataa hapo hapo.Sioni kama mfano wako una maana yoyote zaidi ya kutetea uovu. Uende bank kisha upewe hela fake ukae nayo kisha ugundue Ni fake huwezi kushinda kesi!
Hilo ni kweli huwezi kushinda kesi, je ni sahihi bank kutoa pesa fake kisa huwezi kushinda kesi? Kwahiyo hiyo bank itaendelea kuwa bank au ofisi ya wanyang'anyanyi?
Hivi sasa hivi ni sifa uhuni kufanyika kwenye ofisi za umma? Mnadhani mambo hayo yataishia hapo hapo? Hao wanaofanya huo uhuni na kusifiwa kama ufanyavyo hawataishia hapo boss.
Unamaanisha umemtomba?Hawa ccm wa kufyekelea mbali, jana nimemgonga ccm mmoja...sitakagi ujinga
Poor reasoning. Tutajuaje kama ulipokwenda huko ulizibadilisha ili kutafuta attention? Kwanini wasizikague wakati wanakabidhiwa? Wakazikataa hapo hapo.
CCM hata wewe unaimiliki bwashee!Na ccm inamilikiwa na Magufuli.
Bora iwe hvyo, sasa hebu cheki wameshaanza kuwateka, kuwapiga mapanga na kuwanyang'anya form wagombea ni uhuni kabisa huu.
je mahakama zetu haziwezi kuliingia hili?Wagombea ubunge wa CHADEMA, Lucy Owenya na Grace Kihwelu wamedai kupewa fomu fake na Tume ya Uchaguzi.
Tatizo hilo limegundulika leo walipoenda NEC kuzihakiki.
Chanzo: ITV habari
My take: Nilisema Membe ameenda kuhakiki fomu ni jambo jema
Maendeleo hayana vyama
Mimi ni beberu kazi ya beberu waijuaUnamaanisha umemtomba?