Uchaguzi 2020 CHADEMA Kilimanjaro walalamika kupewa fomu bandia na Tume ya Uchaguzi kwa Wagombea Ubunge

Hapana, Nadhan jamii haipaswi kuchukulia huu uhuni wa CCM na tume yake, kama udhaifu wa Wapinzani.

Huyu aloamua kutoa Fomu feki, maana yake amegushi nyaraka?

Sasa ktk hawa wawili nani Tumnyooshe vidole?

Aiseeee Pigeni kelele kukemea uhuni wa CCM na ikiwezekana watu waingie Mabarabarani, lakini sio kuwalaumi wapinzani.
 
Hapana, Nadhan jamii haipaswi kuchukulia huu uhuni wa CCM na tume yake, kama udhaifu wa Wapinzani.

Huyu aloamua kutoa Fomu feki, maana yake amegushi nyaraka?

Sasa ktk hawa wawili nani Tumnyooshe vidole?

Aiseeee Pigeni kelele kukemea uhuni wa CCM na ikiwezekana watu waingie Mabarabarani, lakini sio kuwalaumi wapinzani.
Hawa ccm wa kufyekelea mbali, jana nimemgonga ccm mmoja...sitakagi ujinga
 
Hapana, Nadhan jamii haipaswi kuchukulia huu uhuni wa CCM na tume yake, kama udhaifu wa Wapinzani.

Huyu aloamua kutoa Fomu feki, maana yake amegushi nyaraka?

Sasa ktk hawa wawili nani Tumnyooshe vidole?

Aiseeee Pigeni kelele kukemea uhuni wa CCM na ikiwezekana watu waingie Mabarabarani, lakini sio kuwalaumi wapinzani.
We shall overcome
 
Back
Top Bottom