Wakuu
Hapa Tanzania kuna watu wasiojulikana na watu wasioeleweka hawa CHADEMA hawaeleweki kila kitu ni kupinga tu sasa wameshaanza kumchulia mtoto wa watu kua ataanguka kimuziki kisa kaimba nyimbo ya kumsifia Rais.
Sasa ninyi CHADEMA hii akili ya kupinga kila kitu mmeitoa wapi hasa hasa?
Jirekebisheni sio mnapinga kila kitu hadi mambo ya watoto wa jana kama hao tena mtoto mwenyewe mwanakijiji wa Mtwara maskini anatafuta riziki yake kwa jasho.
Hapa Tanzania kuna watu wasiojulikana na watu wasioeleweka hawa CHADEMA hawaeleweki kila kitu ni kupinga tu sasa wameshaanza kumchulia mtoto wa watu kua ataanguka kimuziki kisa kaimba nyimbo ya kumsifia Rais.
Sasa ninyi CHADEMA hii akili ya kupinga kila kitu mmeitoa wapi hasa hasa?
Jirekebisheni sio mnapinga kila kitu hadi mambo ya watoto wa jana kama hao tena mtoto mwenyewe mwanakijiji wa Mtwara maskini anatafuta riziki yake kwa jasho.