Mkogoti
TAPELI Mkubwa
- May 3, 2020
- 2,416
- 3,911
Kamati kuu ya CHADEMA leo May 10 2020, ikiwa ni siku ya pili mfululizo imeendelea na vikao vyake vya kidigitali ikiongonzwa na Mwenyekiti wake, Freeman Mbowe, ambapo inapokea taarifa na kujadili kwa kina agenda mbalimbali ikiwemo hali ya janga la corona na hali ya Siasa nchini.
"Kufanyika kwa vikao vya kamati kuu CHADEMA kwa siku ya pili leo kwa njia ya Mtandao, tunatekeleza kwa vitendo, ushauri ambao Chama kimekuwa kikitoa kwa Serikali na Bunge kuchukua tahadhari ya kupunguza mikusanyiko katika kuendesha shughuri zake, ili kujikinga na corona, maazimio yatakayofikiwa yatatolewa baada ya vikao kumalizika"-- Tumaini Makene, Mkuu wa idara ya Habari na Mawasiliano CHADEMA
"Kufanyika kwa vikao vya kamati kuu CHADEMA kwa siku ya pili leo kwa njia ya Mtandao, tunatekeleza kwa vitendo, ushauri ambao Chama kimekuwa kikitoa kwa Serikali na Bunge kuchukua tahadhari ya kupunguza mikusanyiko katika kuendesha shughuri zake, ili kujikinga na corona, maazimio yatakayofikiwa yatatolewa baada ya vikao kumalizika"-- Tumaini Makene, Mkuu wa idara ya Habari na Mawasiliano CHADEMA