Hatimaye CHADEMA imeendelea kuitesa CCM mahakamani baada ya Diwani Ulole wa kijitonyama aliyekuwa amevuliwa udiwani kushinda kesi mahakama kuu na kurudishiwa udiwani wake. Jaji Wambura alisema hakuona sababu za msingi za kumvua udiwani maana defects zilizokuwepo hazikuathiri matokeo. Peopleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeees Powerrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr