Kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa wabunge wa bunge la Africa mashariki itatajwa leo kwa mara ya kwenza mahakama kuu kanda ya Dodoma.Kesi hiyo ilifunguliwa na Anthon Komu aliyekuwa akigombea kupitia CHADEMA.Hii imetokea kutokana na uchaguzi huo kukiuka kanuni na utaratibu.Naomba kuwasilisha.