Chris Lukosi
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 4,581
- 2,937
Ndugu zanguni,
Kama mjuavyo, kesho ndio uchaguzi wa madiwani sehemu mbali mbali nchini, sote tunajua CCM watafunika viti vyote Mbeya na sehemu nyinginezo. Lakini kuna sehemu moja tu ambayo nina uhakika matokeo yakitoka makamanda wanaweza kuzimia.
Nimefuatilia kampeni na mikutrano ya Mheshimiwa Mwigulu Nchemba na Nape na nimewaonea huruma sana makamanda kwani wameonyeshwa tofauti kati ya Chuma na plastiki.
Nawaomba watu wa msalaba mwekundu wawe standby kesho kuhakikisha wanawasaidia makamanda watakaozidiwa baada ya vipimo kutoka kwa daktari ambaye ni sanduku la kupigia kura.
CCM ushindi ni uhakika kesho 16/03/2013
JITAMBUE!
Kama mjuavyo, kesho ndio uchaguzi wa madiwani sehemu mbali mbali nchini, sote tunajua CCM watafunika viti vyote Mbeya na sehemu nyinginezo. Lakini kuna sehemu moja tu ambayo nina uhakika matokeo yakitoka makamanda wanaweza kuzimia.
Nimefuatilia kampeni na mikutrano ya Mheshimiwa Mwigulu Nchemba na Nape na nimewaonea huruma sana makamanda kwani wameonyeshwa tofauti kati ya Chuma na plastiki.
Nawaomba watu wa msalaba mwekundu wawe standby kesho kuhakikisha wanawasaidia makamanda watakaozidiwa baada ya vipimo kutoka kwa daktari ambaye ni sanduku la kupigia kura.
CCM ushindi ni uhakika kesho 16/03/2013
JITAMBUE!