Tabia ya mikutano na ngome za CHADEMA kuvamiwa na vijana wa Green Guard haijaanza leo ni ya muda mrefu inatokea hasa kipindi cha chaguzi mbalimbali. Kama Chadema hamjifunzi kutokana na makosa yaliyopita basi hamfai kuendelea kuongoza vita ya ukombozi tuwape CUF usukani.
Hii picha inanikumbusha jinsi CUF wanavyoweza kujilinda pindi wanapovamiwa na adui.
Mnajua mko vitani adui yenu anafahamika na mnazijua mbinu zake, vile vile mnafahamu kuwa jeshi la polisi halina msaada kwenu, kwanini msijiandae kupambana naye kwa hali yeyote ile? na kama ni kesi mkutane naye mahakamani?
Picha hii inaonyesha jinsi Chadema wanavyoweza kuji selfie pindi wanapojeruhiwa.
Mkiendelea kuwa mazoba watawaumizeni wote na msitarajie eti kuna siku serikali au rais ama mtu yeyote atawaonea huruma achilia mbali kukemea, LAKINI siku moja mtu mmoja akajitolea mkamtolea mwana Green Guard mmoja 'advertise' ya nguvu next time watakuwa wanajiuliza kabla ya kuwavamia.
Tunataka kusikia na wao wamepelekwa hospitali kutibiwa majeraha sio kila siku nyie tu, angalau tusikie mkisema tulipambana nao wakatuzidi nguvu, LA kama mnaona hamuwezi au mnaogopa kukabiriana nao rudini majumbani mwenu mkalale, kelele za kusema tumeumizwa ziishe, mkiendelea hivyo mwisho mtatufanya tuseme kuliko kuwaacheni na ngeu wangewaua kabisa.
Naimiss BAVICHA ya John Heche.
Hii picha inanikumbusha jinsi CUF wanavyoweza kujilinda pindi wanapovamiwa na adui.
Mnajua mko vitani adui yenu anafahamika na mnazijua mbinu zake, vile vile mnafahamu kuwa jeshi la polisi halina msaada kwenu, kwanini msijiandae kupambana naye kwa hali yeyote ile? na kama ni kesi mkutane naye mahakamani?
Picha hii inaonyesha jinsi Chadema wanavyoweza kuji selfie pindi wanapojeruhiwa.
Mkiendelea kuwa mazoba watawaumizeni wote na msitarajie eti kuna siku serikali au rais ama mtu yeyote atawaonea huruma achilia mbali kukemea, LAKINI siku moja mtu mmoja akajitolea mkamtolea mwana Green Guard mmoja 'advertise' ya nguvu next time watakuwa wanajiuliza kabla ya kuwavamia.
Tunataka kusikia na wao wamepelekwa hospitali kutibiwa majeraha sio kila siku nyie tu, angalau tusikie mkisema tulipambana nao wakatuzidi nguvu, LA kama mnaona hamuwezi au mnaogopa kukabiriana nao rudini majumbani mwenu mkalale, kelele za kusema tumeumizwa ziishe, mkiendelea hivyo mwisho mtatufanya tuseme kuliko kuwaacheni na ngeu wangewaua kabisa.
Naimiss BAVICHA ya John Heche.