Mwaka 2010 serikali ya ccm kupitia JK Iliahidi kufuta ada za mitihani ya kitaifa kidato cha nne.hivyo ccm haina ahadi za kutekelezeka bdl yake inawadanganya walalahoi!
kamanda d.kuwa busy na mkutano usikilie ben chigaile utapiwa na point.Mwaka huu wamerejesha ada hizo, na waraka wameshatoa, ni shs za Tanzania 35,000/=, kazi kwao wana CCM walalahoi.
ni kweli ila tunaomba utupe kinachojiri uwanja wa barafu.au siyo.Mwaka 2010 serikali ya ccm kupitia JK Iliahidi kufuta ada za mitihani ya kitaifa kidato cha nne.hivyo ccm haina ahadi za kutekelezeka bdl yake inawadanganya walalahoi!
ni kweli ila tunaomba utupe kinachojiri uwanja wa barafu.au siyo.
Katoka kuongea machemuli,kafuatia mnyika.naona kaingia mbowe hapa